Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Kumekuwa na wimbi kubwa la wachezaji kutoka pande zote za bara la Afrika (kaskazini, Mashariki, Magharibi, Kati, Kusini) kuingia katika ligi yetu hasa vilabu mbalimbali hapa nchini.
Hivi hawa wa kwetu na wao kwanini hawatoki gumu ndani waende wakapambane huko nje?
Najua tatizo haliwezi kuwa lugha maana hata hawa mapro wengi tu lugha kwao ni changamoto lakini wanatawala soka la hapa ndani.
Sasa tatizo ni uwepo wa mawakala au nini hasa au wachezaji wenyewe hawajielewi au kujiamini?
Hivi hawa wa kwetu na wao kwanini hawatoki gumu ndani waende wakapambane huko nje?
Najua tatizo haliwezi kuwa lugha maana hata hawa mapro wengi tu lugha kwao ni changamoto lakini wanatawala soka la hapa ndani.
Sasa tatizo ni uwepo wa mawakala au nini hasa au wachezaji wenyewe hawajielewi au kujiamini?