Wachezaji wa Kibongo na kauli za tunamshukuru Mwenyezi Mungu nini tafsiri yake?

Wachezaji wa Kibongo na kauli za tunamshukuru Mwenyezi Mungu nini tafsiri yake?

Hahaha naona watu wamepanic kweli.. Watu weusi wanafiki sana.

Utasikia "kwanza napenda kumshukuru Mungu", wakati kabla ya mechi wameamkia makaburini au kwa mganga.

Bongo kuna mpira hapa..?? Upuuz tu
Nchi zinazojifanya kuabudu Sana zote ni maskini Sana.
 
Wakoloni walitubrain wash sana..ili watutawale kifikra
 
Sasa umeandika nn, wanapopigana au kupishana uwanjan ni sababu damu inachemka
 
Kama huwa unakereka kusikia maneno hayo , kwa nini huwa unaendelea kuwasikiliza na wengine utadhani unafanya utafiti cha kukushauri wakitaka kuanza kumshukuru Mungu uwe uaziba masikio yako.
 
Kwahiyo wasiseme ili tuendelee Kama walioendelea uliowataja Wewe walioendelea?
 
Uwezo Mdogo wa kuchanganua mambo na Tafakuri.

Uwezo hafifu wa kujieleza.

Uhaba wa Maneno/Misamiati ya lugha.

Mkumbo/Utumwa wa fikra


Yote Majawabu!!!

Mkuu nazani hayo ndio majibu sahihi.
 
Back
Top Bottom