Wachezaji wa kigeni wa Simba na Singida Fountaingate wapigwa pini na TFF

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Timu za Simba na Singida Fountaingate mpaka sasa hazijawasilisha majina ya wachezaji wa Kigeni ndani ya Shirikisho hilo la mpira TFF. Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kutowaona wachezaji hao kwenye vikosi vya timu hizo kwenye mchezo wa pili wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii jijini Tanga iwapo hawatakamilisha taratibu.

 
Tukubaliane nchi hii hajatokea muigizaji kama Kanumba. Marehemu asingekubali kucheza script ya kipuuzi kama hii.
 
Hawana ubavu huo
 
Wakileta kuna fee wanalipa? Kama ndiyo, mmeeleweka, maana mnapenda kukusanya tu hela na kamwe sio kuwekeza
 
Tunaposema hii TFF ya Wallace Karia ina madhaifu mengi, muwe mnatuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…