Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Tumeshuhudia utitiri mkubwa wa wachezaji wa kigeni wakija hapa kwetu kucheza ligi yetu. Wengi wao huwa ni magarasa lakini wachache huwa ni wachezaji haswa.
Ni wachezaji gani wa kigeni uliwahi kuwakubali hasa baada ya kutamba katika ligi yetu ya Bongo.
Mimi naanza na hawa; Mark Sirengo, Haruna Niyonzima, Mike Katende.
Ni wachezaji gani wa kigeni uliwahi kuwakubali hasa baada ya kutamba katika ligi yetu ya Bongo.
Mimi naanza na hawa; Mark Sirengo, Haruna Niyonzima, Mike Katende.