Wachezaji wa kigeni waliotamba ligi kuu ya bongo

Wachezaji wa kigeni waliotamba ligi kuu ya bongo

kuna kipindi kila striker wa mchangani alikua anaitwa..Boniphace Ambani...!
 
Nakumbuka mechi ya simba na yangu nimesahau mwaka, labda 92/93. Constantine Kimanda fullback Five na George Masatu simba Fullback wa msimbazi. Simba ilianza kuwafunga yanga kwa mpira wa adhabu ndogo, goli aligunda Masatu, likasawazishwa na Kimanda kwa style ile ile ya Masatu adhabu ndogo. Kilichonifurahisha na kinachonifanya nimkumbuke huyu bwana na jinsi alivyopiga ile faulo. Mwameja aliruka kuokoa mpira lakini alikosea kutaim spidi ya mpira, wakati anarudi chini baada ya kuruka mpira ndo unampita kwenda wavuni.
Bottom line, Kimanda alikuwa mchezaji mzuri sana na kama ingekuwa leo angecheza England, au nchi yoyote Ulaya

Soka ina maajabu yake Kimanda hakufika mbali badala yake Nonda ambaye hakuwa nyota yanga ndio amecheza hadi ligi ya mabingwa ulaya!
 
Mark Sirengo, Constatine Kimanda, William Fanbulah, Pitchou Kongo, Ramadhan Wasso, Damian Kimti so far hao ndo wachezaj wa kimataifa bora kabisa hapa Bongo
 
Ramadhani Waso, Mark Sirengo, Emmanuel Okwi, Patrick Mutesa Mafisango, Felix Sunzu, Hamis Kiiza, Amis Tambwe, Haruna Niyonzima, Mbuyu Twite, Kipre Tchetche, Yaw Berko, Pascal Wawa.
Yule kipa mzungu Wa yanga
 
Back
Top Bottom