Wachezaji wa Simba, Ahoua na Zimbwe Jr waingia kwenye kikosi bora CAF hatua ya makundi

Wachezaji wa Simba, Ahoua na Zimbwe Jr waingia kwenye kikosi bora CAF hatua ya makundi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kwingineko

Nyota wa Simba, Ahoua na Mohamed Hussein (Zimbwe Jr) wameingia kwenye kikosi bora cha CAF hata ya makundi Kombe la Shirikisho

IMG_3171.jpeg
 
Hii ndo maaana halisi ya ubaya ubwela...
Mdogo mdogooooo...
Watashtukaa tuu
 
Utopolo geuzeni simu kichwa chini mtaona majina yenu
 
Nyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?
 
Nyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?
Kwahiyo diara na mayele ni wakina mama kumbe?
 
Nyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?
Kwa hiyo Yanga wakati wanacheza hiyo michuano walikuwa wamama au wanaume mashoga!?
 
Nyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaaa. Uwiiiiih
 
Back
Top Bottom