Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Yapi tena Kipara?Uto kesho watafayatua yao!
Watatoa listi yao na singida black stars!Yapi tena Kipara?
Kwahiyo diara na mayele ni wakina mama kumbe?Nyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?
Kwa hiyo Yanga wakati wanacheza hiyo michuano walikuwa wamama au wanaume mashoga!?Nyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaaa. UwiiiiihNyie wapumbavu, kwenye hayo mashindano ya Akina mama( Kaduguda) aka looser Cup, Yanga ilitoa top striker ( Mayele) bestie Golie (Diara) kwenye fainali...nyie mnashangalia makundi kutoa wachezaji wawili kweli mmechanganyikiwa. Na bado Diara akawa man of the match Fainali Algeria ....mna kipi kipya?