Wachezaji wa Simba na familia zao kupatiwa Bima ya Afya

Wachezaji wa Simba na familia zao kupatiwa Bima ya Afya

Yeah yeye ni mfanyabiashara tusisahau hilo...

Kama kuna kitu hakipo sawa basi wa kulaumiwa ni watu kama try again, magori, mwenyekiti na wajumbe wengine

Yeye ana 49% hana mamlaka hayo dhidi ya 51%

Ukiona limepita basi kuna jambo...

Timu ilikuwa ina toa pesa mfukoni kutibu wachezaji na sasa mchezaji ana jitibia chini ya utaratibu wa bima

Zipo kampuni na taasisi kibao hazina bima kwa wafanyakazi wake (zipo za kimataifa na za ndani) ata yanga hawana ila kila taasisi ina angalia uwekezaji utakao patikana

Una zani nhif watatoa mkataba wa 250 kwa ajili ya kutangaza na pia kuwapa bima wachezaji na wafanyakazi?
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kuweza kuchanganuwa mambo uko very poor.

Try again na Barbara ni watu wa Mo, wamewekwa Simba kwa maslahi ya Mo wake up.

Mtu ambaye ni wa kwenu kina Abunuwasi ni Murtaza Mangungu ndio mlimchaguwa kwa kumpigia kura kulinda maslahi ya wanachama lakini kwa bahati mbaya amemezwa na yeye amealikwa mezani kwa Mo analamba asali.

Huyo Magori unayemsema ni mtu wa Mo, inaonekana wewe ni oyaoya tu hata hujui mfumo wa Simba ukoje na inaendeshwaje.
 
Mo assurance. Hivyo watakuwa wanakatwa mishahara au?Ila Mo Dewji bwana. Hivyo hawana ruhusa mfano ya kujikatia Jubelee n.k. Sawa Mo tumejua kuwa una Mo kampuni ya Bima.
Tafuta habari uisome

Wamesema kuwa MO anaidhamini timu kwa BIMA kwa miaka 2 kwa thamani ya 250mil

Simba hawatalipa chochote
Ila wachezaji, familia, wafanyakazi wote wa Simba SC watatibiwa wao na wategemezi 4
 
Tafuta habari uisome

Wamesema kuwa MO anaidhamini timu kwa BIMA kwa miaka 2 kwa thamani ya 250mil

Simba hawatalipa chochote
Ila wachezaji, familia, wafanyakazi wote wa Simba SC watatibiwa wao na wategemezi 4
iyo familia zao umeipata wapi

mie nimeona ni wachezaji na wafanyakazi
 
Mo alipinga mkataba wa Azam wa bilioni 40 kuwa hauendani na brand ya Simba ila vikampuni vyake havijawahi kuweka udhamini zaidi ya milioni 259 amewapumbaza sana Wana Simba
 
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kuweza kuchanganuwa mambo uko very poor.

Try again na Barbara ni watu wa Mo, wamewekwa Simba kwa maslahi ya Mo wake up.

Mtu ambaye ni wa kwenu kina Abunuwasi ni Murtaza Mangungu ndio mlimchaguwa kwa kumpigia kura kulinda maslahi ya wanachama lakini kwa bahati mbaya amemezwa na yeye amealikwa mezani kwa Mo analamba asali.

Huyo Magori unayemsema ni mtu wa Mo, inaonekana wewe ni oyaoya tu hata hujui mfumo wa Simba ukoje na inaendeshwaje.
Una zani kwa uwezo wako wa kufikiria ulivyo mkubwa walio katwa na walio pita ktk kinyang’anyiro walizingatia nini?

Una zani waliwekwa wa kumpinga rais wa heshima?

Aliyeona mambo si mambo aliamua kuondoka na mwingine akaenda shule uingereza huku akitangaza bbc

Kaa na akili zako timamu kama ndio hizi!? Unazo zitumia kudadavua

Usione ukazani
 
Mo alipinga mkataba wa Azam wa bilioni 40 kuwa hauendani na brand ya Simba ila vikampuni vyake havijawahi kuweka udhamini zaidi ya milioni 259 amewapumbaza sana Wana Simba
Huo mkataba wa 40B kwa miaka mingapi?
 
Tafuta habari uisome

Wamesema kuwa MO anaidhamini timu kwa BIMA kwa miaka 2 kwa thamani ya 250mil

Simba hawatalipa chochote
Ila wachezaji, familia, wafanyakazi wote wa Simba SC watatibiwa wao na wategemezi 4
Yani mtu na akili zako unadiriki kusema Simba haitalipa chochote, unaelewa maana ya udhamini?

Brand ya Simba inaweza kuingia mkataba wa million 250 kwa miaka miwili?
 
Mo Dewji anapenda sana kutufanya wana Simba SC wote ni Mipan'gang'a ( Mipumbavu ) tupu tu na sijui ni kwanini.

Uwanja wa Mazoezi ni Mo Arena, Jezi za Simba SC zimejaa Chapa za Products zake na Leo tena kaja na Mo Insurance yake.

Halafu hata CEO Wetu nao huwa anawahi tu Kututangazia Masuala ila huwa hatudadavulii tujue ni kwa jinsi gani Klabu ya Simba inafaidika Financially and Economically pia.

Ninachokiona kwa sasa ni Mo Dewji Kujitajirisha zaidi Kimapato kupita Klabu ya Simba na kwa Upan'gang'a ( Upumbavu ) Wetu Mashabiki wala hatushtuki na tunaona ni sawa tu.

Namheshimu Mo Dewji ila simuelewi.
Ifike mahali tuweze kutenganisha ukweli na wivu. Hebu tuambie ni proposal ipi ulishapeleka wewe ikapuuzwa?
Ni msimu uliopita tu mchezaji wa polisi Tanzania alitembeza bakuli ili apatiwe matibabu kwa kukosa bima tu. Leo hii Simba wanafanya jambo ambalo hakuna timu imewahi kufanya hapa nchini halafu watu hata appreciation mnakosa.
Kwa maelezo ni kuwa Mo assurance wa talipia bima zote na Simba wao watafanya kuitangaza tu kampuni. Kama Africarriers wanavyotoa usafiri.
 
Back
Top Bottom