Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Nina wasiwasi na uwezo wako wa kuweza kuchanganuwa mambo uko very poor.Yeah yeye ni mfanyabiashara tusisahau hilo...
Kama kuna kitu hakipo sawa basi wa kulaumiwa ni watu kama try again, magori, mwenyekiti na wajumbe wengine
Yeye ana 49% hana mamlaka hayo dhidi ya 51%
Ukiona limepita basi kuna jambo...
Timu ilikuwa ina toa pesa mfukoni kutibu wachezaji na sasa mchezaji ana jitibia chini ya utaratibu wa bima
Zipo kampuni na taasisi kibao hazina bima kwa wafanyakazi wake (zipo za kimataifa na za ndani) ata yanga hawana ila kila taasisi ina angalia uwekezaji utakao patikana
Una zani nhif watatoa mkataba wa 250 kwa ajili ya kutangaza na pia kuwapa bima wachezaji na wafanyakazi?
Try again na Barbara ni watu wa Mo, wamewekwa Simba kwa maslahi ya Mo wake up.
Mtu ambaye ni wa kwenu kina Abunuwasi ni Murtaza Mangungu ndio mlimchaguwa kwa kumpigia kura kulinda maslahi ya wanachama lakini kwa bahati mbaya amemezwa na yeye amealikwa mezani kwa Mo analamba asali.
Huyo Magori unayemsema ni mtu wa Mo, inaonekana wewe ni oyaoya tu hata hujui mfumo wa Simba ukoje na inaendeshwaje.