rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Sidhani hata Kama mpira uliangalia, so ajabu ulikuwa unasikiliza redio, tukianza kuchambua wachezaji mmoja mmoja mwamnyeto na Mdathir mchango wao ulikuwa mdogo, Shabalala alikuwa na back pass nyingi na hata alipoenda mbele akishindwa kupiga vizuri pasi za mwisho, Mdhamiru pamoja na kuanzisha move ya goli alikuwa na back pass nyingi hayo ni baadhi ya makosa ya Stars lakini wewe unaleta utopolo wako.
Mkuu una roho nzuri kweli! Yaani unajibizana na punguwani!Hebu tutolee utopolo wako...hivi ww huwa unajielewa kweli? Ikiisha mechi unakimbizana kuanzisha uzi kuhusu wachezaji wa Simba...hivi ww ni wa kumsema Manula leo...una inferiority complex...unaanzisha mada ili uwahi kuficha madudu ya upande wa pili...
umeandika nini mkuuKivipi
Kwa hii coment nimekudharau ghafla. Nilidhani una kitu/hoja kumbe ni bifu lako binafsi na Simba. Kwa hiyo kwa sababu Samata alitokea Simba mpaka kufikia huko alipo ndio analazimika kucheza kama wanavyo cheza Simba Sc? Kumbuka Manula alitokea Azam kabla ya kuja Simba, laumu mpira wa Azam basi....... Nonsense!Kazi ya kipa ni nini, yeye alipaswq kuona pia kuna mchezaji yupo free
Nasema tena Samata hana anachofanya na kwakua root yake ni SSC bado anafanya back passes na kuharibu mipira
Hussein amezoea yupo SSC , mpira wa kwendq mbele anapeleka nyuma
Wachezaji wa SSC NI uozo wavivu hawajitumi
Akikujibu usisahau kuni tag mkuu!Yule Mwamnyeto huoni madudu yake
Kwa hii coment nimekudharau ghafla. Nilidhani una kitu/hoja kumbe ni bifu lako binafsi na Simba. Kwa hiyo kwa sababu Samata alitokea Simba mpaka kufikia huko alipo ndio analazimika kucheza kama wanavyo cheza Simba Sc? Kumbuka Manula alitokea Azam kabla ya kuja Simba, laumu mpira wa Azam basi....... Nonsense!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app