Wachezaji wa Simba SC punguzeni kujifotoa sana mitandaoni na tumieni muda huo kujifunza kupiga penati kwani mnatia aibu

Wachezaji wa Simba SC punguzeni kujifotoa sana mitandaoni na tumieni muda huo kujifunza kupiga penati kwani mnatia aibu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Baada ya Kufungwa na Mbeya City 'Kimoko' ambacho mpaka leo GENTAMYCINE naweweseka nacho (kwani Kimening'ang'ania) sasa ni wakati wa kuambiana tu Ukweli hata kama Unauma au Utachukiwa na hata Kuwakwaza Watu.

Ni Aibu Kubwa kwa Wachezaji wa Simba SC kila mara kukosa Penati na Kinachonikera hata wanapokosa ukiziangalia Nyuso zao hawaonyeshi Kujutia au Kusikitika na walivyo Madunduna (Wajinga) Mechi ikiisha utawaona Wote wanawahi Simu zao katika 'Dressing Room' na kuanza Kujipiga Mipicha (Kujifotoa) na kuzitupia katika Kurasa zao za Mitandao.
 
Wachezaji hawana shida, kwa miaka yote iyo ndio kazi yao ata wakifungwa wanahuzunika Ila wanajua ni sehemu ya matokeo. Shida ipo kwa mashabiki wanao amini timu yao haiwezi kupoteza mechi na kutoa viapo mbalimmbali, siku timu ikifungwa lawama zote kwa wachezaji na bench la ufundi.
 
Yaani tatizo la upigaji penati linaanza kuwa sugu
 
Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.

Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.

Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3

Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.

Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.

Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.

Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.

Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
 
Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.

Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.

Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3

Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.

Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.

Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.

Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.

Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Huyo shabiki alikuwa amecheza kamari sio bure!!
 
Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.

Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.

Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3

Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.

Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.

Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.

Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.

Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Msimu huu kila ulimi utakiri Yanga ni Bingwa.
 
Wapo wengi wanaonikera pale Simba, ila Mugalu kawazidi wote.

Lile jinga linakosaga magoli halafu unaliona linatafuna jojo tu kama mbuzi anakula michongoma.Yaani halionyeshi kusikitika au kujutia kukosa nafasi zile. Mbona kule Yanga (hususani Fei Toto) huwa wanasikitika sana kukosa goli la wazi? Na hii huwa inatufariji kidogo sisi mashabiki, lakini indifference ya Mugalu inakera sana kwakweli.

Jambo jingine:hivi Mugalu ana msaada gani pale Simba? Watetezi wake utawasikia:unajua Mugalu ana nguvu,anajua kukaa na mpira na anakabia kuanzia juu. Manina zako!amesajiriwa ili afunge,kukaba wapo mabeki na viungo wakabaji watakaba.

Halafu, hivi dirisha dogo limefungwa bila Simba kuleta striker namba 9 matata? Hatuna uongozi pale Simba.Acha tuteseke.
 
Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP

Alijinyonga asubuhi hata kabla mechi haijachezwa. Anaweza akawa na sababu nyingine

1642587954840.png
 
Na Mtibwa ndio kawapeleka Uwanja wa Manungu.

Waache wakafanye tena Ubishoo.
Na ujinga wa kuwaacha wachezaji muhimu Benchi.

Lazima niwasifie wachezaji wa Yanga.
Kila mechi wanacheza jihadi na wanaichukulia kama Fainali.
Na hawajaribu wachezaji kwenye mechi zao.
Mwenye kiwango cha juu ndio anaanza.
 
Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.

Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.

Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3

Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.

Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.

Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.

Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.

Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Huyu Mugalu si ndio alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha mfungaji bora msimu uliopita. Leo hii mnamkataa?
 
Simba bado wanaishi kwa kutumia nyota ya msimu uliopita na wana amini kila siku ni ijumaa.Kingine Simba inatakiwa imwajiri free kick specialist,maana utakuta wanapata mipira ya faulo jirani kabisa na penalty area box but wanavyotumia nafasi hiyo hovyo kabisa.Badilikeni Simba muda umewatupa mkono
Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.

Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.

Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3

Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.

Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.

Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.

Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.

Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
 
Back
Top Bottom