GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huyo shabiki alikuwa amecheza kamari sio bure!!Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.
Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.
Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3
Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.
Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.
Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.
Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.
Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Kamari ndio ujinyonge.Huyo shabiki alikuwa amecheza kamari sio bure!!
Yanga inasajili mashogaNikisema SIMBA SC ilisajili/inasajili wahuni naonekana mbaya.
Msimu huu kila ulimi utakiri Yanga ni Bingwa.Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.
Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.
Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3
Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.
Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.
Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.
Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.
Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Wale wa kwenu nao wameamua kuwa mashogaMpira umewashinda wanataka kuwa wanamitindo
Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Huyu Mugalu si ndio alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha mfungaji bora msimu uliopita. Leo hii mnamkataa?Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.
Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.
Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3
Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.
Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.
Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.
Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.
Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP
Hata Sapong alikuwa kwenye kinyanga'nyiro cha ufungaji bora. Leo yuko wapi ?Huyu Mugalu si ndio alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha mfungaji bora msimu uliopita. Leo hii mnamkataa?
Nikisema SIMBA SC ilisajili/inasajili wahuni naonekana mbaya.
Panga pangua mwaka huu ubingwa lazima unaenda yanga kama Simba itaendelea na upangaji mbovu wa kikosi.
Kama ndo mnawategemea akina Mugalu wafunge magoli imekula
Kwenu.
Azam Penat tisa zote walifunga zote na hata wangepewa ya kumi wagefunga.
Simba Nusu msimu wanakosa Penati 5
Yanga penati zote za ligi wamefunga na kuchukua point 3
Kocha unawaachaje kuanza Kagere na Sakho pale mbele ambao wanaonekana kabisa kiwango chao kipo juu kwa sasa. Kagere kafunga hadi Penati.
Mi nilivyoona tu kasimama Mugalu nikajua hamna goli siku ile na meseji niliyoandika kwenye Forum ipo.
Mugalu angekuwa Yanga siku nyingi angesha tupiwa virago, ni afadhali hata ya Sapong analijua goli.
Eti mshambuliaji mechi zote alizocheza Goli 0 assist 0 Penati 0 na bado anawekwa First 11.
Washabiki wawanaendelea kuumia kwa uzembe wa Benchi la Ufundi.
Shabiki mwenzetu Khalfan Mwambena hadi kajinyonga na kupoteza maisha. RIP