Wachezaji wa Simba SC punguzeni kujifotoa sana mitandaoni na tumieni muda huo kujifunza kupiga penati kwani mnatia aibu

Ahmed Ally alisema Simba sio watu wa kutegemea penalt ni watu wa magoli ya wasi uwanjani. Wachezaji wako sahihi kutokana na sifa hiyo.
 
We jamaa umeandika kwa uchungu sana, nahisi utakuwa ni mshabiki wa Man U pia...

 
Shabiki makaratasi wewe. Hebu tupe hao wachezaji unaodhani wanakalia benchi huku wakiwa na uwezo. Watu kama wewe mnaishi dunia gani? Kufungwa mechi moja tu kelele nyingi kisa yanga wanashinda? Hakika kuwa kocha wa Tanzania taabu kwelikweli.
 
Niliona video ya yule mwenye madevu akiwa kwenye Boti.... Imenifikirisha mengi
 
Niliona video ya yule mwenye madevu akiwa kwenye Boti.... Imenifikirisha mengi
Najua hapa unamsema Pascal Wawa ambaye ukiacha tu Malaya wote wa Juliana na Beach Kidimbwi Mbezi Beach kumjua na kuwa na mpaka Siti yake 'Maalum' pale pia Vijiwe vyote vya Bange / Bangi vya Yombo anavijua.
 
Shabiki makaratasi wewe. Hebu tupe hao wachezaji unaodhani wanakalia benchi huku wakiwa na uwezo. Watu kama wewe mnaishi dunia gani? Kufungwa mechi moja tu kelele nyingi kisa yanga wanashinda? Hakika kuwa kocha wa Tanzania taabu kwelikweli.
Kile kikosi kilichoanza na Mbeya City hasa washambuliaji walioanza.
Kama watapangwa tena wale wale lazima tutafungwa tena na Mtibwa.
Kwasasa Sakho na Kagere ndio wafungaji wanaofunga kwenye mechi.
Unawanzishaje Benchi ?

Na kusema waliingia baadae haina mashiko timu pinzani tayari imerudi nyuma inalinda goli lao la mapema.

Kama kocha ataamua kuendelea kumtumia Mugalu namba 9 tutaelewana muda si mrefu.

Mechi na Namungo Kagere aliamua mechi goli ambalo ni washambuliaji wachache sana wanaweza kufunga.

Sakho kaamua mechi nyingi tu. Wanaanzaje Benchi.

Huyo Muga Mechi zote assist 0 goli 0 Penati 0.
Anawawekaji benchi hao mafundi ?
 
Sasa hivi umejiondoa Simba?
 
Najua hapa unamsema Pascal Wawa ambaye ukiacha tu Malaya wote wa Juliana na Beach Kidimbwi Mbezi Beach kumjua na kuwa na mpaka Siti yake 'Maalum' pale pia Vijiwe vyote vya Bange / Bangi vya Yombo anavijua.
Namzungumzia Morrison
 
Point kubwa hii watu wanataka timu ikipoteza eti wachezaji waanze kulia wakati dunia nzima haiko hivyo
 
Umelipia kadi ya kielectronic kweli wewe ? Maana wengi wetu humu tunalaumu tu wakati hata mia hatuchangii afu tunawatukana hao hao ambao mamilioni yanawatoka kuwagharamia wachezaji haohao tunaowalaumu

By the way mkataba sio muwa ambao unavunja tu kirahisi unachukua mtu mwingine kama ni hivyo Hazard angeshauzwa kitambo pale Madrid
 
Huyo Mugalu atacheza mechi gani sasa kama kila mechi mnataka acheze Kagere?
 
Wasiruhusiwe tu kutumia simu siku ya mechi..

Wazione simu zao siku ya kufanya recovery..

Maana wanashindwa kuzingatia mchezo.
 
Namba sita pale ndo msingi wa timu, timu kwa sasa haina namba sita makin lilikuwa kosa kubwa kumwacha Yule David wa Nigeria
 
Leta ushahidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…