Wachezaji wa Simba waliletea taifa heshima

Umbumbumbu mwingine ni wa kiwango cha kimataifa! Sasa kwa kitendo cha hiyo timu ya Mwamedi fc kushinda mechi ya ugenini, kuna lileteaje Taifa heshima kubwa?

Yaani ni kipi cha ajabu hapo!! Vipi mngekuwa ni Klabu yenye historia lukuki ya mafanikio kama Al Ahly au Tp Mazembe?

Punguzeni basi umbumbumbu na huyo waziri mkuu wenu asiye jielewa.
 
Simba wapewe ulinzi.
Ndugu zangu huku...
Your browser is not able to display this video.
 
Chuki sio Kitu kizuri kabisa na haijawahi kumwacha mtu salama.Punguza Roho mbaya Ndugu .
 
Bangi mbaya sana....Visit Covid19!!??...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…