Wachezaji wa Simba waliletea taifa heshima

Wachezaji wa Simba waliletea taifa heshima

Umbumbumbu mwingine ni wa kiwango cha kimataifa! Sasa kwa kitendo cha hiyo timu ya Mwamedi fc kushinda mechi ya ugenini, kuna lileteaje Taifa heshima kubwa?

Yaani ni kipi cha ajabu hapo!! Vipi mngekuwa ni Klabu yenye historia lukuki ya mafanikio kama Al Ahly au Tp Mazembe?

Punguzeni basi umbumbumbu na huyo waziri mkuu wenu asiye jielewa.
 
Kutokana na ushindi ambao timu ya Simba Sports Club imejipatia huko nchini DRC, hapo Jana,na pia kufuatia maneno yaliyobuniwa kwenye t-shirt zao ya "Visit Tanzania', Mheshimiwa Waziri mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amesema huo ni Uzalendo wa hali ya juu ambapo amesema kuwa hadi sasa Watu zaidi ya Million miatano kote Duniani wamekuwa wakifuatilia maandishi ktk jezi hizo.


MY TaKe.Yanga jifunzeni kwa Simba kuwa wabunifu siyo mnatuletea Ma t-shirt marefu km madela.
Simba wapewe ulinzi.
Ndugu zangu huku...
 
Umbumbumbu mwingine ni wa kiwango cha kimataifa! Sasa kwa kitendo cha hiyo timu ya Mwamedi fc kushinda mechi ya ugenini, kuna lileteaje Taifa heshima kubwa?

Yaani ni kipi cha ajabu hapo!! Vipi mngekuwa ni Klabu yenye historia lukuki ya mafanikio kama Al Ahly au Tp Mazembe?

Punguzeni basi umbumbumbu na huyo waziri mkuu wenu asiye jielewa.
Chuki sio Kitu kizuri kabisa na haijawahi kumwacha mtu salama.Punguza Roho mbaya Ndugu .
 
Kutokana na ushindi ambao timu ya Simba Sports Club imejipatia huko nchini DRC, hapo Jana,na pia kufuatia maneno yaliyobuniwa kwenye t-shirt zao ya "Visit Tanzania', Mheshimiwa Waziri mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa amesema huo ni Uzalendo wa hali ya juu ambapo amesema kuwa hadi sasa Watu zaidi ya Million miatano kote Duniani wamekuwa wakifuatilia maandishi ktk jezi hizo.


MY TaKe.Yanga jifunzeni kwa Simba kuwa wabunifu siyo mnatuletea Ma t-shirt marefu km madela.
Bangi mbaya sana....Visit Covid19!!??...
 
Back
Top Bottom