Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Baada ya kuangalia list ya wachezaji wa Yanga wanaopaswa kuachwa, leo tugeukie kwa majirani zao Simba. Hii ndio klabu ambayo ni Mabingwa wa Nchi, watatuwakilisha katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika msimu ujao.
Pendekeza majina ya wachezaji ambao wanapaswa kuachwa ili wapishe wachezaji wapya kusajiliwa! Twende kazi...
Wachezaji wa Yanga wanaopaswa kupigwa panga dirisha la usajili
Wachezaji wa Yanga wanaopaswa kupigwa panga dirisha la usajili
Pendekeza majina ya wachezaji ambao wanapaswa kuachwa ili wapishe wachezaji wapya kusajiliwa! Twende kazi...
Wachezaji wa Yanga wanaopaswa kupigwa panga dirisha la usajili
Wachezaji wa Yanga wanaopaswa kupigwa panga dirisha la usajili