Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wahenga wa JF
Wapo WanaSoka wengi maarufu walochezea Klabu kubwa Tanzania kama Simba, Yanga , Pan Africa bila kusahau Timu ya Taifa ( Taifa Stars)
Tunawapongeza kwa mchango wao mkubwa wa kuendeleza soka letu
Nawaletea kwa uchache waliojiingiza kwenye Ujasiriamali na kufanikiwa pakubwa hadi sasa nikianza na Zamoyoni Mogela almaarufu Golden Boy
Karibuni tujadili
Wapo WanaSoka wengi maarufu walochezea Klabu kubwa Tanzania kama Simba, Yanga , Pan Africa bila kusahau Timu ya Taifa ( Taifa Stars)
Tunawapongeza kwa mchango wao mkubwa wa kuendeleza soka letu
Nawaletea kwa uchache waliojiingiza kwenye Ujasiriamali na kufanikiwa pakubwa hadi sasa nikianza na Zamoyoni Mogela almaarufu Golden Boy
Karibuni tujadili