The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ila mjomba yule alikua striker bwana,very intelligent,Leo tunao akina mugalu..shida sanaSame na Zamoyoni tumepiga near Sana kazi za Ido na furnace Bandarini na to Kigogo miaka 2004-2008 akiwa na 682 baadae vipisi Scania jamaa mpambanaji Sana amezeeka vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Selemani Matola anamiliki kiwanda Cha majungu Simba Sports club.
Anajasiliamani nini na mafanikio yake nini?Wahenga wa JF
Wapo WanaSoka wengi maarufu walochezea Klabu kubwa Tanzania kama Simba, Yanga , Pan Africa bila kusahau Timu ya Taifa ( Taifa Stars)
Tunawapongeza kwa mchango wao mkubwa wa kuendeleza soka letu
Nawaletea kwa uchache waliojiingiza kwenye Ujasiriamali na kufanikiwa pakubwa hadi sasa nikianza na Zamoyoni Mogela almaarufu Golden Boy
Karibuni tujadili
Wahenga wa JF
Wapo WanaSoka wengi maarufu walochezea Klabu kubwa Tanzania kama Simba, Yanga , Pan Africa bila kusahau Timu ya Taifa ( Taifa Stars)
Tunawapongeza kwa mchango wao mkubwa wa kuendeleza soka letu
Nawaletea kwa uchache waliojiingiza kwenye Ujasiriamali na kufanikiwa pakubwa hadi sasa nikianza na Zamoyoni Mogela almaarufu Golden Boy
Karibuni tujadili
Huu ni upotoshaji, soka ndio liliwapa ajira jeshini wengi, ila Tamaa za kucheza Simba na Yanga wengi waliacha ajira zao jeshini kutimiza ndoto zao kwenye soccer.
Tino kachoka sanaBasi tumweke Tino
Yupo wapi?Tino kachoka sana