M mwakani naolewa Senior Member Joined Jul 25, 2024 Posts 148 Reaction score 426 Sep 5, 2024 #1 Maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 Your browser is not able to display this video. Pia soma:FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 Your browser is not able to display this video. Pia soma:FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 12,444 Reaction score 18,741 Sep 5, 2024 #2 Kwani wanalipwa mshahara kuchezea Taifa Starz
Chillah JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 8,870 Reaction score 10,066 Sep 5, 2024 #3 Daudi1 said: Kwani wanalipwa mshahara kuchezea Taifa Starz Click to expand... Wacheza bure? Na Ticket za ndege wanalipiwa
Daudi1 said: Kwani wanalipwa mshahara kuchezea Taifa Starz Click to expand... Wacheza bure? Na Ticket za ndege wanalipiwa
Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 12,444 Reaction score 18,741 Sep 5, 2024 #4 Chillah said: Wacheza bure? Na Ticket za ndege wanalipiwa Click to expand... Kwanini kwenye vilabu vyao wanakomaa? mimi nadhani maslahi hakuna, ndo maana hawana ile spirit ya kushinda tofauti na kwenye vilabu vyao
Chillah said: Wacheza bure? Na Ticket za ndege wanalipiwa Click to expand... Kwanini kwenye vilabu vyao wanakomaa? mimi nadhani maslahi hakuna, ndo maana hawana ile spirit ya kushinda tofauti na kwenye vilabu vyao
Fabian Vitus JF-Expert Member Joined Jul 18, 2022 Posts 5,828 Reaction score 7,532 Sep 5, 2024 #5 Sokwe mweupe said: maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 View attachment 3087568 Click to expand... 😆😆😆🤣Ila kwer fimbo za miguu zipitishwe tu
Sokwe mweupe said: maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 View attachment 3087568 Click to expand... 😆😆😆🤣Ila kwer fimbo za miguu zipitishwe tu
C Covax JF-Expert Member Joined Feb 15, 2021 Posts 10,198 Reaction score 35,323 Sep 5, 2024 #6 Sokwe mweupe said: maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 View attachment 3087568 Click to expand... Si nayeye ana watoto awapeleke wachezee taifa star, watanzania mdomo wetu unazidi akili zetu.
Sokwe mweupe said: maoni ya mashabiki baada ya Timu yao kutoka sare na timu ya Ethiopia katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 View attachment 3087568 Click to expand... Si nayeye ana watoto awapeleke wachezee taifa star, watanzania mdomo wetu unazidi akili zetu.
Yoav Gallant JF-Expert Member Joined May 23, 2023 Posts 2,122 Reaction score 4,699 Sep 5, 2024 #7 Wachezaji wanajua kuchezea lift tu wakiwa kambini