Mndengereko One
JF-Expert Member
- Apr 26, 2015
- 340
- 243
Jina la pili yusufKuna jamaa nacheza Uingereza daraja la kwanza jina nimemsahau alikuja kucheza Tz dhid ya Algerian
1.said muhando carter anacheza chiasso ligi daraja la Kwanza
2.orgenes mollel anacheza ureno ligi daraja la kwanza
3.daud aboud yupo ligi daraja la kwanza marekani
4.donald makaramba yupo marekani
5.hamis mroki yupo Ukraine daraja la kwanza
6.michael lema yupo Austria ligi daraja la kwanza
7.abdul hilay yupo tusker ya Kenya ligi kuu
8.ayub lyanga yupo zanako Zambia huyu ndo mtanzania pekee atakaecheza makundi ligi ya mabigwa afrika
9.farid musa anacheza tenerife hispania ligi daraja la kwanza
10.tomas ulimwengu anacheza ligi kuu Sweden
11.mbwana samata anacheza ligi kuu ubelgiji
12.abdala hamisi yupo ligi kuu Kenya Sony sugar
Kuna canavaro.yupo yanga ni mchezaji wa kulipwa
Nmwamkoto mwapendwaU naweza kuongeze wengine
nmkoto kwale wengaNmwamkoto mwapendwa
Huyu RAIA wa Denmark... Ingawa baba yake mtanzania....wanamichezo wapewe passport mbili hata yule mtoto wa Hassan Afif angechezea Tanzania...Yussuf Poulsen-RB Leipzig
Huyu RAIA wa Denmark... Ingawa baba yake mtanzania....wanamichezo wapewe passport mbili hata yule mtoto wa Hassan Afif angechezea Tanzania...Yussuf Poulsen-RB Leipzig
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Iyo timu anayochezea Thomas ulimwengu ndio inafunga mkia inachezea vipigo si mchezo