Wachezaji wa Tanzania wanaocheza nje

Wachezaji wa Tanzania wanaocheza nje

Mndengereko One

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2015
Posts
340
Reaction score
243
1.said muhando carter anacheza chiasso ligi daraja la Kwanza

2.orgenes mollel anacheza ureno ligi daraja la kwanza

3.daud aboud yupo ligi daraja la kwanza marekani

4.donald makaramba yupo marekani

5.hamis mroki yupo Ukraine daraja la kwanza

6.michael lema yupo Austria ligi daraja la kwanza

7.abdul hilay yupo tusker ya Kenya ligi kuu

8.ayub lyanga yupo zanako Zambia huyu ndo mtanzania pekee atakaecheza makundi ligi ya mabigwa afrika

9.farid musa anacheza tenerife hispania ligi daraja la kwanza

10.tomas ulimwengu anacheza ligi kuu Sweden

11.mbwana samata anacheza ligi kuu ubelgiji

12.abdala hamisi yupo ligi kuu Kenya Sony sugar
 
Kuna jamaa nacheza Uingereza daraja la kwanza jina nimemsahau alikuja kucheza Tz dhid ya Algerian
 
Elius maguli yupo Oman
Emily mgeta yupo Ujerumani
Dany lyanga oman
 
1.said muhando carter anacheza chiasso ligi daraja la Kwanza

2.orgenes mollel anacheza ureno ligi daraja la kwanza

3.daud aboud yupo ligi daraja la kwanza marekani

4.donald makaramba yupo marekani

5.hamis mroki yupo Ukraine daraja la kwanza

6.michael lema yupo Austria ligi daraja la kwanza

7.abdul hilay yupo tusker ya Kenya ligi kuu

8.ayub lyanga yupo zanako Zambia huyu ndo mtanzania pekee atakaecheza makundi ligi ya mabigwa afrika

9.farid musa anacheza tenerife hispania ligi daraja la kwanza

10.tomas ulimwengu anacheza ligi kuu Sweden

11.mbwana samata anacheza ligi kuu ubelgiji

12.abdala hamisi yupo ligi kuu Kenya Sony sugar

Mkuu kawasaidie TFF kwani wao hawana ' database ' yoyote ya Wachezaji wa Kitanzania wanaocheza nje / ughaibuni.
 
Hivi tukiwatumia hawa hatutatoka kweli!? Mbona tuna vijana kwenye ligi mbali mbali tena ligi nzuri
 
Hivi yule SMG yuko wapi sasa au hachezi tena nje?
 
Back
Top Bottom