Wachezaji wa Tanzania wanaocheza nje

Huyu RAIA wa Denmark... Ingawa baba yake mtanzania....wanamichezo wapewe passport mbili hata yule mtoto wa Hassan Afif angechezea Tanzania...
Hilo ni kweli Sasa TFF bado inauongoziii wa kujaza matumbo Yao, ilitakiwa wapeleke hoja Yao kwa waziri wa mchezo au wamnyookee raisi waombe wachezaji wapewe uraia wa inchi mbili
 
Geoffrey mwashihuya anacheza yanga ligi yakulipwa....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Wabacheza huko wana ITC zetu?au wana passport ya tz ?
#12 siku najua km ni mtanzania...

Lyanga akikaza anaweza sogea sogea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…