MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,545
Kweli! Juzi Putin alisema kwa furaha kabla ya mechi ya kufuzu robo fainali. "Hata mkitoka leo hamna deni. Kuingia raundi ya pili ilikuwa lengo." Hivyo wangeshindwa sijui ingekuwaje!Aiseee ni balaa.
Wale Warusi ndo nilikuwa nina wasiwasi na kitu Rais wao angewafanya endapo wangepoteza mchezo!