Wewe lazima ni muhaSijawahi kumuona De Bruyne au Toni Kroos kabeba Play Station wakati timu ikisafiri, huu ushamba upo jangwani tu.View attachment 3045894
ni ushamba wako tuu unahisi hivyo.Hivi mtu unateswaje na personal life ya mtu ambaye hajui hata kama una exist..??
Mnawezaje tu..??
Kama hajalipwa deal la kutangaza biashara hajitambui.Sijawahi kumuona De Bruyne au Toni Kroos kabeba Play Station wakati timu ikisafiri, huu ushamba upo jangwani tu.View attachment 3045894
Kweli kabisa.Kama hajalipwa deal la kutangaza biashara hajitambui.
ISijekuwa unajifariji
Anasumbuliwa umama mama!Hivi mtu unateswaje na personal life ya mtu ambaye hajui hata kama una exist..??
Mnawezaje tu..??
Maoni si utoe kwenye maisha yako, maoni kwa watu usowajua..??ni ushamba wako tuu unahisi hivyo.
Hayo ni maoni tuu ametoa.
Mkuu hako Kaha ka Kirundi kutoka Mnanila Buhigwe umeamua kukavua nguo mchana kweupe!Acha ujinga lebron james mwenyewe enzi zake NBA alikuwa anabeba playstation yake timu inavyosafiri
View attachment 3045923
Sidhani hapa bongo kuna mtu maarufu anayevaa/kubeba brand ya nje afu alipwe.Kama hajalipwa deal la kutangaza biashara hajitambui.