Vijijini/mtaani,kuna mapande ya wachezaji wazuri sana,lakn hawajulikani kitaifa,wakati mwingine mpaka wanasitaafu soka bila kujulikana!!
Nawakumbuka sana wakongwe wa kijijini kwetu,enzi za akina OLANDO,beki matata haijawahi tokea,ila aliishia kuwa mchana mbao