Wachezaji wa Yanga SC wagomea mazoezi

mzee wenu Akilimali yu wapi?

si alisema klabu haimuhitaji Manji wamwachie yeye (Akilimali) aongoze??

mkabidhini timu huyo mzee afanye yake bana!!
 
Zahera alifika mazoezini kwenye Uwanja wa Polisi Kurasini asubuhi akajikuta yupo na wachezaji watano tena wote ni wageni wengine hata mashabiki wa Yanga hawawajui.
Kaseke, Heritier Makambo, Mrisho Ngasa, Emeka Emerun na Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ hali iliyomfanya asitishe mazoezi hayo mpaka leo Jumamosi.
Mrisho amekana lini, uraia wa Tanzania? Uandishi huu unaudhi!!
 
Wagome tu hakuna namna.
 
Uko sahihi kabisa mkuu,salute
 
Hawa yanga shida wameshindwa kuishi kwa bajeti,
Sasa unawachezaji uliowasajili hujawalipa afu unaenda kusajili wachezaji wengine kuongeza gharama tu.
Kwa nini wasiwalipe kwanza wachezaji walionao ili wawe na morali ya kuipigania badge ya yanga badala ya kuongeza gharama za kuwasajili akina ngasa.
Hiyo timu iliyokuwepo ilikua inafanya vizr tu kipindi mishahara yao na posho wanapewa.
Yanga msifanye usajili ili muonekane ishi kwa bajeti yenu ili wachezaji wawe na morali.
 
Aiseee yanga jina kubwa ila sasa walafi wamelipunguzia hadhi vibaya mno
 
Mrisho amekana lini, uraia wa Tanzania? Uhandishi huu unaudhi!!
andika, uandishi; ila ktk kiswahili hatuna maneno 'handika', 'uhandishi';
halafu katumia 'wageni' huenda akimaanisha wapya, waliosajiliwa, wageni ktk club
 
Kuna wale wazee huwa wanachonga Sana, wajitokeze kutoka mafichoni walikombie chama.
 
Nimerekebisha mkuu.

Hivi hili neno limo kwenye maneno ya kiswahili!?

Sawa.

Hapa unamlisha maneno

Bado hiki nacho ni kiswahili?
unajitoa ufaham, ukweli una kawaida ya kuchomachoma'ivi
 
Yajayo yanafurahisha. Daraja lazma washuke msimu huu. Bundi kashatua na kagoma ondoka.
 
Huyu clement sanga ndo tatizo
Sidhani kama Sanga ndo Tatizo,
Wana Yanga mnamlaumu Sanga kwa sababu mlishazoea akiwa mwenyekiti anatoa hela mfukoni kuisapoti timu.
Yanga mlitakiwa kumlaumu Manji ambae aliwafanya mtegemee yeye hata mlikua hamfikirii ka kunakuchanga ada ya uanachama.
Tengenezeni mfumo mzr sio kumlaumu Sanga.
Labda kama wanachama mmeshachangia team sasa kala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…