Wachezaji wa Yanga waahidi kumpasua simba tarehe 8

Wachezaji wa Yanga waahidi kumpasua simba tarehe 8

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
WACHEZAJI WA YANGA WAAHIDI KUMPASUA SIMBA MACHI 8.
.
Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga,Stephanie Aziz Ki amesema anatarajia kumpatia zawadi ya kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa Mbunge ambaye pia ni shabiki wa Yanga,Mh Antony Mavunde tarehe 8 Mwezi huu ambapo ni mechi kati ya Yanga dhidi ya Simba.
.
Kwa upande mwingine Kiungo Khalid Aucho naye ameahidi kumpatia zawadi Mbunge huyo akiandika kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram kwamba ile zawadi aliyoiomba kwaajili ya Birthday yake ataipata Machi 8 kwa Mkapa.

NB....makolo ....msahau kumfunga Yanga [emoji23][emoji23]
1740925157137.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
WACHEZAJI WA YANGA WAAHIDI KUMPASUA SIMBA MACHI 8.
.
Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga,Stephanie Aziz Ki amesema anatarajia kumpatia zawadi ya kusherehekea sikukuu ya kuzaliwa Mbunge ambaye pia ni shabiki wa Yanga,Mh Antony Mavunde tarehe 8 Mwezi huu ambapo ni mechi kati ya Yanga dhidi ya Simba.
.
Kwa upande mwingine Kiungo Khalid Aucho naye ameahidi kumpatia zawadi Mbunge huyo akiandika kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram kwamba ile zawadi aliyoiomba kwaajili ya Birthday yake ataipata Machi 8 kwa Mkapa.

NB....makolo ....msahau kumfunga Yanga [emoji23][emoji23]View attachment 3256005

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Akitia timu hapa ngara23 tumekwisha!
 
Jamani Makolo tusiyachukulie poa aisee! Yalishawahi kutufunga tukiwa na mshambuliaji tishio Mayele! Ila siku hiyo Yanga wasipite geti kubwa, uchawi wa makolo uko hapo yalishazika maiti hapo ndiyo maana wachezaji wa Yanga huwa wanakuwa wazito!
 
I will show Lionel the way to pass on 8th March 2025.Mukwala, Ahoua and Elia Mpanzu already know the path-8.
 
Jamani Makolo tusiyachukulie poa aisee! Yalishawahi kutufunga tukiwa na mshambuliaji tishio Mayele! Ila siku hiyo Yanga wasipite geti kubwa, uchawi wa makolo uko hapo yalishazika maiti hapo ndiyo maana wachezaji wa Yanga huwa wanakuwa wazito!
Hata bila uchawi Yanga atashinda

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Hivi Mavunde na Dodoma Jiji wana undugu?

Maana siku ile wamefungwa na Yanga walifanya sherehe, lakini walipofungwa na Simba waliweka hadi matanga wiki nzima. Leo ndiyo nimeelewa ni kwa nini🙄
 
Back
Top Bottom