Wachezaji wa Yanga wamkataa Nadir Haroub (Cannavaro) kwa kuwa ni mbea na mnafiki

Wachezaji wa Yanga wamkataa Nadir Haroub (Cannavaro) kwa kuwa ni mbea na mnafiki

...na tena canavaro aache mtindo wake wa kuchinja mbuzi kila jumanne...

Hawezi kuacha kwani ni Mpenda ushirikina mno na ndiyo amekuwa akiwaumiza sana Wachezaji wa Yanga na hasa wale waliokuwa wakiitwa Timu ya Taifa na ambao hucheza nafasi moja ya yake ya namba tano ( 5 ) na sishangai hata alivyoachwa Stars kuna Wachezaji walifanya sherehe kwani alikuwa akiwaumiza mno Kiushirikina. Wewe kama tu alishaanza kumroga Nahodha wa sasa wa Stars Mbwana Samatta kwakuwa alinyang'anywa hiko cheo itakuwa kwa hawa wengine? Bahati nzuri hata Popa ( Mbwana Samatta ) nae kapikwa na katengenezwa sana Kindumba hivyo za Cannavaro zikawa zinadunda tu.
 
Ndumba zimeanza kuisha kwa canavaro hapa ndipo unapoona umuhimu wakumtegemea Mungu.
 
Wachezaji wa Yanga kwa umoja wao wameamua kumkataa Mchezaji mwenzao na ambaye pia ni Nahodha wa Klabu hiyo Nadir Haroub ' Cannavaro ' kwa madai kuwa amezidi na kukithiri kwa Umbea na kuwagawa Wachezaji.

Wachezaji hao wameenda mbali zaidi na kusema kuwa Mchezaji huyo Nadir Haroub ' Cannavaro ' amekuwa ni mpika majungu, mbea, mnafiki na mpelelezi wa Uongozi wa Yanga kitu ambacho amekuwa kila mara akipeleka maneno kwa Uongozi dhidi ya Wachezaji wa Yanga.

Wakizungumza na Mimi GENTAMYCINE asubuhi hii hii hapa maeneo ya Leaders Club ambapo sisi Wachezaji wa zamani huwa tunacheza Kiveterani zaidi kila Jumamosi na Jumapili na hawa Wachezaji huja kupata mawaidha yetu Wachezaji wapatao watano ( 5 ) ila kwa kutowaharibia huko Klabuni kwao sitowataja majina yao walikuwa wakizungumza na Mimi huku wakiwa wamefura ( kukasirika ) kabisa juu ya Vitendo vya Kinafiki vya Nahodha wao Cannavaro.

Wamesema kuwa tayari wameshakubaliana na wenzao wote kuwa kuanzia sasa hawamtaki huyo Mchezaji na kwamba hawatampa ushirikiano wowote ule na kuutaka Uongozi wa Yanga kama wameamua kuwawekea Mpelelezi basi ni vyema huyu Cannavaro awe anawekwa pale Magetini Uwanja wa Uhuru ili awe Mpelelezi kwa Viongozi wa Yanga ambao huwa wanapiga Hela za Viingilio na kwamba wakiendelea kumwacha awe nao kile walichomfanyia jana pale Uwanja wa Uhuru baada ya kumalizika kwa ile mechi dhidi ya African Lyon basi watamfanyia kitu mbaya zaidi na kwamba wamemchoka.

Ikumbukwe kuwa hii tabia ya Vilabu hivi viwili vya Simba na Yanga kumchagua Mchezaji mmoja kuwa Mpelelezi kwa wenzake haijaanza tu leo kwani huko nyuma Mchezaji na Kipa wa Simba Kelvin Mhagama nae alishawahi kupigwa mno na Wachezaji wa Simba akina Madaraka Selemani na Fikiri Magosso kwa tabia kama hizi anazofanya leo Nadir Haroub ' Cannavaro ' na kama haitoshi japo inafichwa fichwa hata Meneja wa sasa wa Simba Sports Club Mussa Hassan ' Mgosi ' hapendwi na Wachezaji wa Simba kwakuwa na yeye ni Mpelelezi wa Uongozi wa Simba kwani hata alipokuwa Mchezaji mwandamizi wa Simba alikuwa na tabia ya kuwapeleleza wenzake na kuwachoma kwa Uongozi na moja ya sababu kubwa ya kupewa Umeneja wa Klabu ya Simba ni baada ya kuwa mbea aliyetukuka kwa Vitendo vya Wachezaji wenzake.

Naomba kuwasilisha.
Kamumsilimulie mkeo ucku baada ya kuogelea
 
Hivi Malinzi bado ni Rais wa TFF?
Maana ukiamini habari za watu humu JF Sports walioshuhudia au kuambiwa from reliable sources, basi leo TFF ingekuwa na Rais mwingine.
Mpira na hulka zetu !
 
Wachezaji wa Yanga kwa umoja wao wameamua kumkataa Mchezaji mwenzao na ambaye pia ni Nahodha wa Klabu hiyo Nadir Haroub ' Cannavaro ' kwa madai kuwa amezidi na kukithiri kwa Umbea na kuwagawa Wachezaji.

Wachezaji hao wameenda mbali zaidi na kusema kuwa Mchezaji huyo Nadir Haroub ' Cannavaro ' amekuwa ni mpika majungu, mbea, mnafiki na mpelelezi wa Uongozi wa Yanga kitu ambacho amekuwa kila mara akipeleka maneno kwa Uongozi dhidi ya Wachezaji wa Yanga.

Wakizungumza na Mimi GENTAMYCINE asubuhi hii hii hapa maeneo ya Leaders Club ambapo sisi Wachezaji wa zamani huwa tunacheza Kiveterani zaidi kila Jumamosi na Jumapili na hawa Wachezaji huja kupata mawaidha yetu Wachezaji wapatao watano ( 5 ) ila kwa kutowaharibia huko Klabuni kwao sitowataja majina yao walikuwa wakizungumza na Mimi huku wakiwa wamefura ( kukasirika ) kabisa juu ya Vitendo vya Kinafiki vya Nahodha wao Cannavaro.

Wamesema kuwa tayari wameshakubaliana na wenzao wote kuwa kuanzia sasa hawamtaki huyo Mchezaji na kwamba hawatampa ushirikiano wowote ule na kuutaka Uongozi wa Yanga kama wameamua kuwawekea Mpelelezi basi ni vyema huyu Cannavaro awe anawekwa pale Magetini Uwanja wa Uhuru ili awe Mpelelezi kwa Viongozi wa Yanga ambao huwa wanapiga Hela za Viingilio na kwamba wakiendelea kumwacha awe nao kile walichomfanyia jana pale Uwanja wa Uhuru baada ya kumalizika kwa ile mechi dhidi ya African Lyon basi watamfanyia kitu mbaya zaidi na kwamba wamemchoka.

Ikumbukwe kuwa hii tabia ya Vilabu hivi viwili vya Simba na Yanga kumchagua Mchezaji mmoja kuwa Mpelelezi kwa wenzake haijaanza tu leo kwani huko nyuma Mchezaji na Kipa wa Simba Kelvin Mhagama nae alishawahi kupigwa mno na Wachezaji wa Simba akina Madaraka Selemani na Fikiri Magosso kwa tabia kama hizi anazofanya leo Nadir Haroub ' Cannavaro ' na kama haitoshi japo inafichwa fichwa hata Meneja wa sasa wa Simba Sports Club Mussa Hassan ' Mgosi ' hapendwi na Wachezaji wa Simba kwakuwa na yeye ni Mpelelezi wa Uongozi wa Simba kwani hata alipokuwa Mchezaji mwandamizi wa Simba alikuwa na tabia ya kuwapeleleza wenzake na kuwachoma kwa Uongozi na moja ya sababu kubwa ya kupewa Umeneja wa Klabu ya Simba ni baada ya kuwa mbea aliyetukuka kwa Vitendo vya Wachezaji wenzake.

Naomba kuwasilisha.
Acha utoto!Lazima tujifunze kuwa kama wamiliki wa timu(to act like an owner) ingawa wachezaji huwa waajiriwa!Sasa watu wenye hii spirit huwa wanaonekana kama wasaliti.Na ndio maana watanzania tunakwama sana kwani ukikabidhiwa jukumu unafanya hujali sana kwa kuwa huenda si kitu chako.Hii ni spirit mbaya ambayo mimi nikikugundua unayo hata kama wewe ni best player nakutumbua.Maana lazima uwe predictable na siyo kuwa na makundi ya siri dhidi ya menrjimenti
 
Hivi Kwanini Kila Mnyama Anapomrarua Mtu Hawa Vyura FC wanakuwa Tafrani Kiasi Hichi?????
 
Daah bongo soka fitna,Canavaro pamoja na kucheza kote kwa jihadi,sasa anaundiwa jungu....pole yake.
 
Wachezaji wa Yanga kwa umoja wao wameamua kumkataa Mchezaji mwenzao na ambaye pia ni Nahodha wa Klabu hiyo Nadir Haroub ' Cannavaro ' kwa madai kuwa amezidi na kukithiri kwa Umbea na kuwagawa Wachezaji.

Wachezaji hao wameenda mbali zaidi na kusema kuwa Mchezaji huyo Nadir Haroub ' Cannavaro ' amekuwa ni mpika majungu, mbea, mnafiki na mpelelezi wa Uongozi wa Yanga kitu ambacho amekuwa kila mara akipeleka maneno kwa Uongozi dhidi ya Wachezaji wa Yanga.

Wakizungumza na Mimi GENTAMYCINE asubuhi hii hii hapa maeneo ya Leaders Club ambapo sisi Wachezaji wa zamani huwa tunacheza Kiveterani zaidi kila Jumamosi na Jumapili na hawa Wachezaji huja kupata mawaidha yetu Wachezaji wapatao watano ( 5 ) ila kwa kutowaharibia huko Klabuni kwao sitowataja majina yao walikuwa wakizungumza na Mimi huku wakiwa wamefura ( kukasirika ) kabisa juu ya Vitendo vya Kinafiki vya Nahodha wao Cannavaro.

Wamesema kuwa tayari wameshakubaliana na wenzao wote kuwa kuanzia sasa hawamtaki huyo Mchezaji na kwamba hawatampa ushirikiano wowote ule na kuutaka Uongozi wa Yanga kama wameamua kuwawekea Mpelelezi basi ni vyema huyu Cannavaro awe anawekwa pale Magetini Uwanja wa Uhuru ili awe Mpelelezi kwa Viongozi wa Yanga ambao huwa wanapiga Hela za Viingilio na kwamba wakiendelea kumwacha awe nao kile walichomfanyia jana pale Uwanja wa Uhuru baada ya kumalizika kwa ile mechi dhidi ya African Lyon basi watamfanyia kitu mbaya zaidi na kwamba wamemchoka.

Ikumbukwe kuwa hii tabia ya Vilabu hivi viwili vya Simba na Yanga kumchagua Mchezaji mmoja kuwa Mpelelezi kwa wenzake haijaanza tu leo kwani huko nyuma Mchezaji na Kipa wa Simba Kelvin Mhagama nae alishawahi kupigwa mno na Wachezaji wa Simba akina Madaraka Selemani na Fikiri Magosso kwa tabia kama hizi anazofanya leo Nadir Haroub ' Cannavaro ' na kama haitoshi japo inafichwa fichwa hata Meneja wa sasa wa Simba Sports Club Mussa Hassan ' Mgosi ' hapendwi na Wachezaji wa Simba kwakuwa na yeye ni Mpelelezi wa Uongozi wa Simba kwani hata alipokuwa Mchezaji mwandamizi wa Simba alikuwa na tabia ya kuwapeleleza wenzake na kuwachoma kwa Uongozi na moja ya sababu kubwa ya kupewa Umeneja wa Klabu ya Simba ni baada ya kuwa mbea aliyetukuka kwa Vitendo vya Wachezaji wenzake.

Naomba kuwasilisha.
umebalance sana hii story, kumne ndiye wewe Gentamycine wa Leaders eh?
 
Uzee umeshamfika huyo Canavaro wenu apumzike tu kucheza,,

Bila hivyo atawafungisha hadi mkome,,
 
...na tena canavaro aache mtindo wake wa kuchinja mbuzi kila jumanne...
Duuh,, bado anaendelea nayo hii tabia hadi sasa.

Sasa wachezeji wa Yanga ili waweze kujikinga na hii kafara basi watumie kwa wingi kujipaka mafuta ya Mbuzi yule wa Vatcan.
 
Ndumba zimeanza kuisha kwa canavaro hapa ndipo unapoona umuhimu wakumtegemea Mungu.
Siyo kweli Cannavaro ana miaka 35+

Kwenye mpira mchezaji akishafikisha umri huo lazima kiwango kishuke
 
Duuh,, bado anaendelea nayo hii tabia hadi sasa.

Sasa wachezeji wa Yanga ili waweze kujikinga na hii kafara basi watumie kwa wingi kujipaka mafuta ya Mbuzi yule wa Vatcan.
Wachezaji wa bongo 80% wanaamini ushirikina

Nimeshuhudia baadhi ya wachezaji wa Azam,mtibwa nk wakiendekeza ushirikina kwa kigezo eti wanajilinda

Wengi wanatoa ushuhuda wao.

Lakini ajabu Stars haijawahi kufanikiwa licha ya kuendekeza ushirikina huo

Tanzania ina wananchi wa ajabu sana wachezaji mpira,wanasiasa,wapenzi,wana ndoa wanaamini ndumba
 
Back
Top Bottom