Wachezaji wa Yanga wanakula mshahara wa bure tu

Kamgomoli

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2018
Posts
1,896
Reaction score
4,058
Wachezaji wengi waliopo Yanga wanakula mshahara wa bure kabsaaa. Ukiwaangalia kwa jicho ambalo si la kishabiki utagundua wengi hawana vipaji,kontroo chumba kizima. Inashangaza timu inacheza dk 90 bila kona harafu uwanja wa nyumbani. Hii ni kashifa kwa timu kubwa km Yanga. Wachezaji waliopo wengi hawana hadhi ya kucheza Yanga Zahera anatupotezea mda tu hana lolote la maana,labda abaki km mhamasishaji wa michango.
 
simba ndio wanakula mshahara wa bure kagere analipwa milioni 12 kwa mwezi kwa ajili ya kucheza na LIPULI, NDANDA ambao hakuna mchezaji anaelipwa hata laki 5 kwa mwezi, C E O MSAUZI amekuja kupanga mikakati ya simba kuifunga NAMUNGO ya lindi , hahahaha
 
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .............mikia buana.
 
Control chumba kizima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaa [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yanga sio mbovu inamapungufu kadhaa..haina number nane kama Modric au Xavi zamani alikuwepo Niyo..wamtafute mtu wa kukaa na mpira na kupiga through pass..wale wakina Balinya,Molinga na Sydney watafunga mpaka basi... .fullbacks zote mbili (Labda kulia Boxer akipona)..ila idara nyingine ziko poa
 

Mimi ni shabiki wa Yanga! Ninaunga mkono hoja. Kuna umuhimu wa kulivunjilia mbali benchi la ufundi kama ilivyotokea enzi za babu Hans Van Der Pluijm. Timu haina muunganiko, wachezaji wanacheza kawaida sana kuliko hata msimu uliopita walipokuwa wakicheza kwa mali kauli.

Kocha anahusika moja kwa moja! maana ndiye aliyependekeza hao wachezaji wasajiliwe huku akiwaruhusu wachezaji wengi muhimu kwenye timu, kuondoka bila sababu za msingi na zenye mashiko.
 

Kwa kujituma kule, nadhani anastahili kulipwa malipo hayo. Mchezaji anacheza mechi 4 na kufunga magoli 6! Huwezi kumlinganisha na yule wa kwetu Molinga anayekosa goli ndani ya sita huku akiwa peke yake.
 
umenena hata huyu kocha pia ni tatizo!
 
Bado mpaka mtavua nguo stand timu yenu yenye wachezaji wazuri imefika wapi?
 
Kwa kujituma kule, nadhani anastahili kulipwa malipo hayo. Mchezaji anacheza mechi 4 na kufunga magoli 6! Huwezi kumlinganisha na yule wa kwetu Molinga anayekosa goli ndani ya sita huku akiwa peke yake.
Nakuuliza swali molinga Ni wa Kwanza kukosa goli ndani ya sita nasubiri jibu lako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
 
Zahera ahukumiwe mwisho was msimu siyo kwa mechi mbili tatu.
Soccer haiko hivyo unavyotaka wewe.
Uongozi umempa malengo. Mwisho wa msimu jibu litakuwa wazi.
 
Kwa kujituma kule, nadhani anastahili kulipwa malipo hayo. Mchezaji anacheza mechi 4 na kufunga magoli 6! Huwezi kumlinganisha na yule wa kwetu Molinga anayekosa goli ndani ya sita huku akiwa peke yake.
Tate Mkuu unasema lile simtank la kikongo,hamna kitu pale
 
Malengo gani km sio ushindi? Malengo ya timu kubwa km Yanga ni kushinda kila mechi ndio sababu ya kusajili maproo wengi ili waisaidie timu ichukue ubingwa. Hakuna malengo mengine!!
Zahera ahukumiwe mwisho was msimu siyo kwa mechi mbili tatu.
Soccer haiko hivyo unavyotaka wewe.
Uongozi umempa malengo. Mwisho wa msimu jibu litakuwa wazi.
 
Malengo gani km sio ushindi? Malengo ya timu kubwa km Yanga ni kushinda kila mechi ndio sababu ya kusajili maproo wengi ili waisaidie timu ichukue ubingwa. Hakuna malengo mengine!!
Nani asiyetaka ushindi?
Balance ya kushinda na kushindwa mechi zote ni mwisho wa msimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…