simba ndio wanakula mshahara wa bure kagere analipwa milioni 12 kwa mwezi kwa ajili ya kucheza na LIPULI, NDANDA ambao hakuna mchezaji anaelipwa hata laki 5 kwa mwezi, C E O MSAUZI amekuja kupanga mikakati ya simba kuifunga NAMUNGO ya lindi , hahahaha