Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa apatiwe msaada wa kitabibu na sindano adungwe.Dunia ipi unaongelea ya kule kwenu chibubwe
Japo tunatamani elemu kama hizi na makolo ....wazipateNaunga mkono hoja, Yanga sasa kinakuwa chungu cha kupika mafundi wa Mpira.
Nilipenda TFF impe Gamondi kandarasi ya part time consultancy ya kufundisha Taifa Stars kukaba kwa kasi kwa pamoja kama ugomvi na kushambulia kwa ile spidi yao ya pasi za uhakika za Max, Pacome na Ki.
Huwa natamani Stars hii icheze filosofia ya Yanga sababu imesheheni wachezaji vijana wenye pumzi. Au kama vipi Morocco aige hiyo filosofia ya total football.
Young=Younger=Yanga.Vyura hawawezi kutamka "ng'a"!Inaitwa Yang'a Jazz Band!Hivi Yanga manake nini ?
Hizo "elemu" mmrpewa na mzee Magoma?Vyura mwili mzima wallah!😂Japo tunatamani elemu kama hizi na makolo ....wazipate
Hii yanga itakuwa workshop ya Soka Africa View attachment 3092994
Baada ya watu kuona anajua kukatika viuno wakamshindilia magoli manne.Mbona umeweka picha ya Feitoto? Huyu yupo Azam, na juzi tu alikatika viuno