Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Nawapongeza wachezaji wa zamani wa Yanga ambao wanaenda kuongea na kumpongeza kocha mkuu wa timu Yanga kwa kile alichofanya mpaka sasa akiwa katika mazingira magumu. Wasisahau kumdokezea kuhusu suala la kipa Beno Kakolanya. Makipa tuliobakiwa nao akiumia mmoja imekula kwetu. Tukumbuke pia sisi wanadamu tuna mapungufu yetu, mtoto akiunyea mkono dawa si kuukata. Mpaka sasa kama ni kujifunza na kubadilika atakuwa kashafanya hivyo.
Bandugu nawasilisha.
Bandugu nawasilisha.