Sijawahi kuona mchezaji mbovu kama JAMA MBA galasa lililosajiliwa yanga .Mba ndio wa kwanza katika list aliyesajiliwa na Yanga... maana Shamra shamra zilianzia Airport and then Magazetini basi kila uchwao Mba Mba Mba mazoezini alifunga goli moja magazeti yakalipuka Mba Mba Mba kivumbi kwenye ligi aliishia kufunga goli moja tu. and then sikumsikia tena.
Kuhama arsenal
Yaani inaoneka Wenger kawagonga limbwata!! [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kuhama arsenal
Tena la offside dhidi ya wana lizombe![emoji13] [emoji13]Mba ndio wa kwanza katika list aliyesajiliwa na Yanga... maana Shamra shamra zilianzia Airport and then Magazetini basi kila uchwao Mba Mba Mba mazoezini alifunga goli moja magazeti yakalipuka Mba Mba Mba kivumbi kwenye ligi aliishia kufunga goli moja tu. and then sikumsikia tena.