Wachezaji wabovu kuwahi kusajiliwa Simba na Yanga

Kwenye siasa kila kitu kinapangwa...kwa nini Manji akukamatwa mwaka Jana...
 
Sijawahi kuona mchezaji mbovu kama JAMA MBA galasa lililosajiliwa yanga .
 
Tena la offside dhidi ya wana lizombe![emoji13] [emoji13]
 
jamani mbona mnaogopa kusema ,ni hawa
sserukumas wote
Dani akufo
Fedrick blagnon
vicent agban
papa Abdullah Ndow
Rafael kiyongera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…