Wachezaji wafuatao wa Simba SC wasipangwe Mechi ya leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC

Wachezaji wafuatao wa Simba SC wasipangwe Mechi ya leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Klabu Moja yenye Chuki na Klabu ya Simba na ina Ukaribu wa Kiundugu na Klabu ya African Sports ya Tanga imewatuma Wachezaji wa African Sports FC Wawaumize vibaya Wachezaji Muhimu wa Simba SC ili wasicheze Mechi Mbili Muhimu za Kimaamuzi za CAFCL ile ya Vipers FC tarehe 7 March 2023 na ya Horoya FC tarehe 18 March 2023.

Wachezaji wa Simba SC ambao huenda Wakipangwa leo katika Mechi / Mchezo dhidi ya African Sports FC wakaumizwa vibaya na Kimakusudi kabisa ni Wafuatao......

1. Clatous Chama
2. Moses Phiri
3. Saido Ntibanzokinza
4. Jean Baleke
5. Sadio Kanoute
6. Henock Inonga
7. Pape Sakho
8. Mohammed Hussein

Ushauri wangu naomba Kikosi cha Simba SC cha leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC Kipangwe hiki Kifuatacho ili Kuwalinda Wachezaji wetu Muhimu kuelekea Michezo yetu Miwili ya Kimaamuzi na Muhimu ya CAFCL........

1. Beno Kakolanya
2. Israeli Mwenda
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Ishmael Sawadogo
9. Habib Kyombo
10. John Boko
11. Nassoro Kapama

Naomba mwenye Uwezo tafadhali aufowadi Uzi huu Muhimu kwa Msemaji wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Viongozi wa Simba SC ili Waufanyie Kazi ila Ukweli ni kwamba leo kuna Mpango wa Kimafia wa Kuwaumiza Wachezaji muhimu wa Simba SC ili Kutudhoofisha katika Mechi zetu Mbili Ngumu za CAFCL ya Vipers na Horoya.
 
Kuna Klabu Moja yenye Chuki na Klabu ya Simba na ina Ukaribu wa Kiundugu na Klabu ya African Sports ya Tanga imewatuma Wachezaji wa African Sports FC Wawaumize vibaya Wachezaji Muhimu wa Simba SC ili wasicheze Mechi Mbili Muhimu za Kimaamuzi za CAFCL ile ya Vipers FC tarehe 7 March 2023 na ya Horoya FC tarehe 18 March 2023.

Wachezaji wa Simba SC ambao huenda Wakipangwa leo katika Mechi / Mchezo dhidi ya African Sports FC wakaumizwa vibaya na Kimakusudi kabisa ni Wafuatao......

1. Clatous Chama
2. Moses Phiri
3. Saido Ntibanzokinza
4. Jean Baleke
5. Sadio Kanoute
6. Henock Inonga
7. Pape Sakho
8. Mohammed Hussein

Ushauri wangu naomba Kikosi cha Simba SC cha leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC Kipangwe hiki Kifuatacho ili Kuwalinda Wachezaji wetu Muhimu kuelekea Michezo yetu Miwili ya Kimaamuzi na Muhimu ya CAFCL........

1. Beno Kakolanya
2. Israeli Mwenda
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Ishmael Sawadogo
9. Habib Kyombo
10. John Boko
11. Nassoro Kapama

Naomba mwenye Uwezo tafadhali aufowadi Uzi huu Muhimu kwa Msemaji wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Viongozi wa Simba SC ili Waufanyie Kazi ila Ukweli ni kwamba leo kuna Mpango wa Kimafia wa Kuwaumiza Wachezaji muhimu wa Simba SC ili Kutudhoofisha katika Mechi zetu Mbili Ngumu za CAFCL ya Vipers na Horoya.
Wachezaji muhimi mnao wangapi bwana? Wachezaji muhimu viwango vyao havina tofauti na hao african sports ata wakiumizwa ni sawa tu
 
Halafu hiko kikosi ulichopanga ukimtoa Boko kinaweza kumfunga yoyote katika ligi au mashindano yoyote ya ndani.
 
Wakishawaumiza ndio watabadilishiwa mashindano ya kushiriki kutoka europa kuelekea champions league?
 
Simba sc haina wachezaji muhimu ukimtoa M.Hussein,Kapombe,Inonga Bakary hakuna mchezaji muhimu zaidi ya wazururaji uwanjani.
 
1. Beno Kakolanya
2. Israeli Mwenda
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Ishmael Sawadogo
9. Habib Kyombo
10. John Boko
11. Nassoro Kapama
kula tano kiongozi.
 
Kuna Klabu Moja yenye Chuki na Klabu ya Simba na ina Ukaribu wa Kiundugu na Klabu ya African Sports ya Tanga imewatuma Wachezaji wa African Sports FC Wawaumize vibaya Wachezaji Muhimu wa Simba SC ili wasicheze Mechi Mbili Muhimu za Kimaamuzi za CAFCL ile ya Vipers FC tarehe 7 March 2023 na ya Horoya FC tarehe 18 March 2023.

Wachezaji wa Simba SC ambao huenda Wakipangwa leo katika Mechi / Mchezo dhidi ya African Sports FC wakaumizwa vibaya na Kimakusudi kabisa ni Wafuatao......

1. Clatous Chama
2. Moses Phiri
3. Saido Ntibanzokinza
4. Jean Baleke
5. Sadio Kanoute
6. Henock Inonga
7. Pape Sakho
8. Mohammed Hussein

Ushauri wangu naomba Kikosi cha Simba SC cha leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC Kipangwe hiki Kifuatacho ili Kuwalinda Wachezaji wetu Muhimu kuelekea Michezo yetu Miwili ya Kimaamuzi na Muhimu ya CAFCL........

1. Beno Kakolanya
2. Israeli Mwenda
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Ishmael Sawadogo
9. Habib Kyombo
10. John Boko
11. Nassoro Kapama

Naomba mwenye Uwezo tafadhali aufowadi Uzi huu Muhimu kwa Msemaji wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Viongozi wa Simba SC ili Waufanyie Kazi ila Ukweli ni kwamba leo kuna Mpango wa Kimafia wa Kuwaumiza Wachezaji muhimu wa Simba SC ili Kutudhoofisha katika Mechi zetu Mbili Ngumu za CAFCL ya Vipers na Horoya.
Yaani huyu GENTAMYCINE sijui akili zake Huwa anaziokotaga wapi!
 
Hivi Simba ina wachezaji muhimu kwenye kikosi chao? Butu butu linalopigwa uwanjani kama ndondo cup bado uwe na wachezaji muhimu?
Nyinyi ambako hampigi butu butu kwanini mna points 4 the kule CAFCC? Na siku chache zijazo ndo mtajua sisi ni zaidi yenu kwenye michuano ya kimataifa.Hizo points 4 mlizonazo ndo mwisho wenu na pira biriyani lenu.
 
Kuna Klabu Moja yenye Chuki na Klabu ya Simba na ina Ukaribu wa Kiundugu na Klabu ya African Sports ya Tanga imewatuma Wachezaji wa African Sports FC Wawaumize vibaya Wachezaji Muhimu wa Simba SC ili wasicheze Mechi Mbili Muhimu za Kimaamuzi za CAFCL ile ya Vipers FC tarehe 7 March 2023 na ya Horoya FC tarehe 18 March 2023.

Wachezaji wa Simba SC ambao huenda Wakipangwa leo katika Mechi / Mchezo dhidi ya African Sports FC wakaumizwa vibaya na Kimakusudi kabisa ni Wafuatao......

1. Clatous Chama
2. Moses Phiri
3. Saido Ntibanzokinza
4. Jean Baleke
5. Sadio Kanoute
6. Henock Inonga
7. Pape Sakho
8. Mohammed Hussein

Ushauri wangu naomba Kikosi cha Simba SC cha leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC Kipangwe hiki Kifuatacho ili Kuwalinda Wachezaji wetu Muhimu kuelekea Michezo yetu Miwili ya Kimaamuzi na Muhimu ya CAFCL........

1. Beno Kakolanya
2. Israeli Mwenda
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Ishmael Sawadogo
9. Habib Kyombo
10. John Boko
11. Nassoro Kapama

Naomba mwenye Uwezo tafadhali aufowadi Uzi huu Muhimu kwa Msemaji wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Viongozi wa Simba SC ili Waufanyie Kazi ila Ukweli ni kwamba leo kuna Mpango wa Kimafia wa Kuwaumiza Wachezaji muhimu wa Simba SC ili Kutudhoofisha katika Mechi zetu Mbili Ngumu za CAFCL ya Vipers na Horoya.
IMG-20230302-WA0016.jpg
 
Kuna Klabu Moja yenye Chuki na Klabu ya Simba na ina Ukaribu wa Kiundugu na Klabu ya African Sports ya Tanga imewatuma Wachezaji wa African Sports FC Wawaumize vibaya Wachezaji Muhimu wa Simba SC ili wasicheze Mechi Mbili Muhimu za Kimaamuzi za CAFCL ile ya Vipers FC tarehe 7 March 2023 na ya Horoya FC tarehe 18 March 2023.

Wachezaji wa Simba SC ambao huenda Wakipangwa leo katika Mechi / Mchezo dhidi ya African Sports FC wakaumizwa vibaya na Kimakusudi kabisa ni Wafuatao......

1. Clatous Chama
2. Moses Phiri
3. Saido Ntibanzokinza
4. Jean Baleke
5. Sadio Kanoute
6. Henock Inonga
7. Pape Sakho
8. Mohammed Hussein

Ushauri wangu naomba Kikosi cha Simba SC cha leo dhidi ya African Sports FC katika TFF ASFC Kipangwe hiki Kifuatacho ili Kuwalinda Wachezaji wetu Muhimu kuelekea Michezo yetu Miwili ya Kimaamuzi na Muhimu ya CAFCL........

1. Beno Kakolanya
2. Israeli Mwenda
3. Gadiel Michael
4. Kennedy Juma
5. Mohammed Outarra
6. Jonas Mkude
7. Peter Banda
8. Ishmael Sawadogo
9. Habib Kyombo
10. John Boko
11. Nassoro Kapama

Naomba mwenye Uwezo tafadhali aufowadi Uzi huu Muhimu kwa Msemaji wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Viongozi wa Simba SC ili Waufanyie Kazi ila Ukweli ni kwamba leo kuna Mpango wa Kimafia wa Kuwaumiza Wachezaji muhimu wa Simba SC ili Kutudhoofisha katika Mechi zetu Mbili Ngumu za CAFCL ya Vipers na Horoya.
Kumbe ndio huna akili kiasi hicho,, Sasa ukaribu wa klabu a unahusishaje na klabu b unafikiri malengo yao sawa..
 
20230302_152128.jpg


Sijui kwa nini hiki kikosi nimetokea kukikubali ingawa mchezaji kama Gadiel Michael sijawahi kumfuatilia sana na Nyoni anaweza asiwe na stamina ya mchezo kuweza kuanza.

Wakicheza vizuri na kushinda, hiki kikosi kitachochea mabadiliko fulani ya kiuchezaji pale Simba.
 
Back
Top Bottom