Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Mods pliz msiunganishe uzi huu
Hawa ndio wameiua na kuizika Yanga leo huku wakiwa ni waajiriwa wa timu hiyo.
Mimi naanza na Hassan Kessy ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Simba aliyeihujumu Yanga leo bila aibu.
Papy Kabamba Tshishimbi ambaye alipotea toka dakika ya kwanza.
Ibrahim Ajib. Mwanasimba huyu kindakindaki zaidi ya kupiga Outer zisizo na faid kwenye timu alikuwa anazurura tu.
Naomba waitwe wahojiwe mapema na haraka iwezekenavyo...
Acha ujinga, wachezaji wamejitahidi kadri ya uwezo wao, timu inapitia wakati mgumu sana.
Timu imejitahidi sana kuokoa jahazi, Mikia kwa kipindi hiki wapo vizuri ndani na nje ya uwanja lakini bado leo wamecheza mpira wa kawaida sana mbele ya Yanga iliyokuwa pungufu.
Tuache kulalamika.