Wachezaji wafuatao wachukuliwe hatua haraka na mapema

Wachezaji wafuatao wachukuliwe hatua haraka na mapema

Mods pliz msiunganishe uzi huu

Hawa ndio wameiua na kuizika Yanga leo huku wakiwa ni waajiriwa wa timu hiyo.

Mimi naanza na Hassan Kessy ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Simba aliyeihujumu Yanga leo bila aibu.

Papy Kabamba Tshishimbi ambaye alipotea toka dakika ya kwanza.

Ibrahim Ajib. Mwanasimba huyu kindakindaki zaidi ya kupiga Outer zisizo na faid kwenye timu alikuwa anazurura tu.

Naomba waitwe wahojiwe mapema na haraka iwezekenavyo...


Acha ujinga, wachezaji wamejitahidi kadri ya uwezo wao, timu inapitia wakati mgumu sana.

Timu imejitahidi sana kuokoa jahazi, Mikia kwa kipindi hiki wapo vizuri ndani na nje ya uwanja lakini bado leo wamecheza mpira wa kawaida sana mbele ya Yanga iliyokuwa pungufu.

Tuache kulalamika.
 
Mods pliz msiunganishe uzi huu

Hawa ndio wameiua na kuizika Yanga leo huku wakiwa ni waajiriwa wa timu hiyo.

Mimi naanza na Hassan Kessy ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Simba aliyeihujumu Yanga leo bila aibu.

Papy Kabamba Tshishimbi ambaye alipotea toka dakika ya kwanza.

Ibrahim Ajib. Mwanasimba huyu kindakindaki zaidi ya kupiga Outer zisizo na faid kwenye timu alikuwa anazurura tu.

Naomba waitwe wahojiwe mapema na haraka iwezekenavyo...
........eezaoooo timunzimaa
 
Msanyigwa nae leo, nae umempa uanachama wa Simba, Ajibu, Kessy, Mlifanya Sherehe wakati na wasajiri, leo nao mmewapa kadi za Simba.
Mbona Wenzenu, wamevumilia maumivu Muda mrefu sana, Sasa mwakani si mtachoma Jengo moto nyie, maana sasa Simba inaimarika kila idara, Mooo.
 
Ajibu ni Yanga damu tangu akikipiga chandimu pale Lumumba akiwa dogo sana,yeye na yule dadake mtangazaji wa radio wote ni Yanga damu,Shishimbi asingeweza kufanya kitu ikiwa timu haikuwa na washambuliaji asilia,swala la kessy ni bahati mbaya..Yanga tunapitia kipindi kigumu sana kwa sasa kiuchumi na kutokuwa na washambuliaji na tar 3 tunasafiri nje ya nchi kucheza shirikisho.
 
Ajibu ni Yanga damu tangu akikipiga chandimu pale Lumumba akiwa dogo sana,yeye na yule dadake mtangazaji wa radio wote ni Yanga damu,Shishimbi asingeweza kufanya kitu ikiwa timu haikuwa na washambuliaji asilia,swala la kessy ni bahati mbaya..Yanga tunapitia kipindi kigumu sana kwa sasa kiuchumi na kutokuwa na washambuliaji na tar 3 tunasafiri nje ya nchi kucheza shirikisho.
Tshishimbi aliumia ethiopia,ndio maana na mbeya city akucheza,alianza mazoezi camp,juzi asubuhi alijitonesha tena mazoezini moro hadi kushindwa kuendelea na mazoezi,leo kachezwa kwa sindano ili tu uwepo wa uwanjani upunguze kujiamini kwa mikia,tshishimbi leo alicheza akiwa injury
 
Umemsahau yule NYOKA aina ya SWILA ambaye alikuwa anatema makohozi hovyo kama mjamzito?
 
Mods pliz msiunganishe uzi huu

Hawa ndio wameiua na kuizika Yanga leo huku wakiwa ni waajiriwa wa timu hiyo.

Mimi naanza na Hassan Kessy ambaye ni mnazi wa kutupwa wa Simba aliyeihujumu Yanga leo bila aibu.

Papy Kabamba Tshishimbi ambaye alipotea toka dakika ya kwanza.

Ibrahim Ajib. Mwanasimba huyu kindakindaki zaidi ya kupiga Outer zisizo na faid kwenye timu alikuwa anazurura tu.

Naomba waitwe wahojiwe mapema na haraka iwezekenavyo...
Ajib amesharudi nyumbani maana nyumbani kumenoga
 
Back
Top Bottom