Hapa Simba walikoseaMorrison
Fatuma mtoto, Sara na yokupaDirisha la usajili katika Majira ya kiangazi yaliyopita, Man Utd walikuwa wanamtaka kwa udi na uvumba winga wa Borussia Dortmund, Sancho ila kwa bahati mbaya wakashindwa kumnasa!
Miezi takribani minne baadae, Sancho amekuwa na fomu mbaya ndani ya uwanja, baada ya kucheza takribani dk 900 bila hata ya kuwa na goli tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita. Kama Man Utd wangemnunua leo hii story zote mbaya zingekuwa kwa Ole Gunnar kuwa kaua kipaji cha Sancho.
Sancho ameflop sana, yupo chini ya uwezo wake, sijui ni ule uhamisho ulimgharimu nje ya uwanja? Hatujui
Taja mchezaji unayeona msimu huu anacheza chini ya kiwango chake, tofauti na msimu uliopita...
Laly Bwalya
unaumwa utopolo weweLaly Bwalya
Bwalya, Kondeboy na Morrison mechi ijayo watakachoifanya Yanga maji Watayaita mmmaaaaaunaumwa utopolo wewe
Sancho Ana Goli 12 na assist 16 kwenye mechi 31 sawa na 0.9 goal contribution kwa dakika 90. Hizi ni stats za elite player, far from flop.Dirisha la usajili katika Majira ya kiangazi yaliyopita, Man Utd walikuwa wanamtaka kwa udi na uvumba winga wa Borussia Dortmund, Sancho ila kwa bahati mbaya wakashindwa ...
Hivi yuko wapi huyu mwamba?Sarpong
Boss unakumbuka ulichoandika hapa?Mugalu ni flop afu over-rated sana
Daah mwana kapotea kimtindo..Samata
[emoji16][emoji16][emoji16] Huyu mbumbumbu aliandika huu upopoma wake mwezi wa nne mwaka huu! [emoji16][emoji16], Mwezi Mei, wakakimbia mechi! Wananchi walienda saa 11, wenyewe wakaenda saa 1 na nusu jioni!Bwalya, Kondeboy na Morrison mechi ijayo watakachoifanya Yanga maji Watayaita mmmaaaaa
Bado nasimamia kile ninachokiamini, Mugalu is over rated. Nafasi zinazotengenezwa Simba hata Ilanfya anamaliza na 18+ goalsBoss unakumbuka ulichoandika hapa?
Tupe mrejesho mkuu,Mugalu ni flop afu over-rated sana
#56Tupe mrejesho mkuu,
#56Tupe mrejesho mkuu,