NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
TFF na Bodi ya ligi Tanzania kitu kikubwa wanachokijua ni kupiga faini wachezaji na kufungia wachezaji/ makocha wanaowakosoa tu.
Lakini katika Mambo ya msingi/ muhimu Kama kudraft ratiba ya match Mwanzo wa msimu Hadi mwisho TFF na Bodi ya ligi Tanzania hakuna walijualo.
Fainali ya kombe la Azam bado halijaisha Kuna wachezaji wameitwa kwenye timu zao za Taifa, hii ni aibu sana kwa TFF na Bodi ya ligi Tanzania.
Lakini katika Mambo ya msingi/ muhimu Kama kudraft ratiba ya match Mwanzo wa msimu Hadi mwisho TFF na Bodi ya ligi Tanzania hakuna walijualo.
Fainali ya kombe la Azam bado halijaisha Kuna wachezaji wameitwa kwenye timu zao za Taifa, hii ni aibu sana kwa TFF na Bodi ya ligi Tanzania.