Wachezaji wanaoachwa na Yanga wakikutana wanaikamia Yanga tofauti na wale wa Simba

Wachezaji wanaoachwa na Yanga wakikutana wanaikamia Yanga tofauti na wale wa Simba

Kumekucha tena ni siku nyingine nzuri, wengi wanapenda kutumia hii kauli Soka letu tunalifahamu wenyewe au soka letu kivyetu vyetu.

Nimetizama mechi kadhaa za Yanga nakugundua pindi Yanga inapokutana na wachezaji iliowaacha na kwenda timu nyingine timu hizo wakikutana na Yanga wale wachezaji mwanzo mwisho ni kukaza.

Rejea mchezo wa Mashujaa hiyo jana Golikipa Johora alikua yupo radhi kufia kiwanjani ila Yanga isipite goli tu, angalia gemu na Namungo golikipa Dida Munishi alimwaga mchozi kabisa baada ya kufungwa pamoja na Pius Buswita aliyecheza Jihad mwanzo mwisho na mwenzake Domayo.

Mifano ni Mingi swali la kujiuliza je wanataka kuwaonyesha Yanga walifanya makosa kuwaacha au yanakua ni maelekezo kutoka kwa makocha wao.

Njoo sasa upande mwingine pale Simba asilimia kubwa ya wachezaji wanaoachwa na Simba wakienda upande mwingine ni ka vile bado wanakua wanatumika na Simba kuhujumu hizo timu rejea penalti ya Kagere na Singida Utd Kombe la mapinduzi jamaa ni kama alimpa mpira kipa, pia kipindi cha nyuma mchezaji Ulimboka aliwahi kushutumiwa kutumika kuwapa wachezaji wa timu pinzani mlungula ili waachie ushindi kwa Simba.

Sio wachezaji tu hata makocha rejea kocha wa Tabora Utd mserbia Karpunovic naye alipita Simba ajabu anashangaa na kusema kuna matukio yalitokea ndani ya masaa 24 kuonyesha kwamba kulikua na viashiria vya rushwa kwa wachezaji wake na kubaki kulalamikia nyasi ndefu wakati uwanja ni wao kila siku.
hii ni kawaida
 
Kumekucha tena ni siku nyingine nzuri, wengi wanapenda kutumia hii kauli Soka letu tunalifahamu wenyewe au soka letu kivyetu vyetu.

Nimetizama mechi kadhaa za Yanga nakugundua pindi Yanga inapokutana na wachezaji iliowaacha na kwenda timu nyingine timu hizo wakikutana na Yanga wale wachezaji mwanzo mwisho ni kukaza.

Rejea mchezo wa Mashujaa hiyo jana Golikipa Johora alikua yupo radhi kufia kiwanjani ila Yanga isipite goli tu, angalia gemu na Namungo golikipa Dida Munishi alimwaga mchozi kabisa baada ya kufungwa pamoja na Pius Buswita aliyecheza Jihad mwanzo mwisho na mwenzake Domayo.

Mifano ni Mingi swali la kujiuliza je wanataka kuwaonyesha Yanga walifanya makosa kuwaacha au yanakua ni maelekezo kutoka kwa makocha wao.

Njoo sasa upande mwingine pale Simba asilimia kubwa ya wachezaji wanaoachwa na Simba wakienda upande mwingine ni ka vile bado wanakua wanatumika na Simba kuhujumu hizo timu rejea penalti ya Kagere na Singida Utd Kombe la mapinduzi jamaa ni kama alimpa mpira kipa, pia kipindi cha nyuma mchezaji Ulimboka aliwahi kushutumiwa kutumika kuwapa wachezaji wa timu pinzani mlungula ili waachie ushindi kwa Simba.

Sio wachezaji tu hata makocha rejea kocha wa Tabora Utd mserbia Karpunovic naye alipita Simba ajabu anashangaa na kusema kuna matukio yalitokea ndani ya masaa 24 kuonyesha kwamba kulikua na viashiria vya rushwa kwa wachezaji wake na kubaki kulalamikia nyasi ndefu wakati uwanja ni wao kila siku.
Ile ilikuwa ni komedi sio penati
 
Yeye aliita kwa sababu yeye ni Mzungu ila kamwe haiwezi kubadilisha Binadamu kuwa mnyama.Ila kuna kiongozi alisema anaongoza MAMBUMBUMBU yasiyojua kitu hilo uwezekano upo
Unyani unaosemwa ni tabia zenu
 
Kumekucha tena ni siku nyingine nzuri, wengi wanapenda kutumia hii kauli Soka letu tunalifahamu wenyewe au soka letu kivyetu vyetu.

Nimetizama mechi kadhaa za Yanga nakugundua pindi Yanga inapokutana na wachezaji iliowaacha na kwenda timu nyingine timu hizo wakikutana na Yanga wale wachezaji mwanzo mwisho ni kukaza.

Rejea mchezo wa Mashujaa hiyo jana Golikipa Johora alikua yupo radhi kufia kiwanjani ila Yanga isipite goli tu, angalia gemu na Namungo golikipa Dida Munishi alimwaga mchozi kabisa baada ya kufungwa pamoja na Pius Buswita aliyecheza Jihad mwanzo mwisho na mwenzake Domayo.

Mifano ni Mingi swali la kujiuliza je wanataka kuwaonyesha Yanga walifanya makosa kuwaacha au yanakua ni maelekezo kutoka kwa makocha wao.

Njoo sasa upande mwingine pale Simba asilimia kubwa ya wachezaji wanaoachwa na Simba wakienda upande mwingine ni ka vile bado wanakua wanatumika na Simba kuhujumu hizo timu rejea penalti ya Kagere na Singida Utd Kombe la mapinduzi jamaa ni kama alimpa mpira kipa, pia kipindi cha nyuma mchezaji Ulimboka aliwahi kushutumiwa kutumika kuwapa wachezaji wa timu pinzani mlungula ili waachie ushindi kwa Simba.

Sio wachezaji tu hata makocha rejea kocha wa Tabora Utd mserbia Karpunovic naye alipita Simba ajabu anashangaa na kusema kuna matukio yalitokea ndani ya masaa 24 kuonyesha kwamba kulikua na viashiria vya rushwa kwa wachezaji wake na kubaki kulalamikia nyasi ndefu wakati uwanja ni wao kila siku.
Unganisha na Emmanuel martin wa dodoma Jiji,
 
Hapana mkuu, mapumziko ya AFCON, wachezaji wetu binafsi naona walijiachia sana inaonyesha.... wanajitafuta sana, viwango vimeshuka kidogo. Pia nahisi Kocha wetu bado hajajua kuwatumia baadhi ya wachezaji.
Ilianzia kombe la Mapinduzi, kuna wachezaji wemekaa muda mrefu hawajacheza, mechi mbili za mwisho Yanga kashinda kwa tabu kubwa. Wachezaji wengi wapepoteza fitness, hata tempo ya uchezaji wao imeshuka. Tatizo la umaliziaji kama bado halijapata tiba.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ilianzia kombe la Mapinduzi, kuna wachezaji wemekaa muda mrefu hawajacheza, mechi mbili za mwisho Yanga kashinda kwa tabu kubwa. Wachezaji wengi wapepoteza fitness, hata tempo ya uchezaji wao imeshuka. Tatizo la umaliziaji kama bado halijapata tiba.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi,mpira ni sayansi sometimes hata kama sisi ni mashabiki tujadili facts kuliko story za vijiwe vya kahawa
 
Mashabiki kama mleta uzi ni wafinyu wa akili, hata kuwasikiliza kijiweni huwa ni tabu.
 
Kumekucha tena ni siku nyingine nzuri, wengi wanapenda kutumia hii kauli Soka letu tunalifahamu wenyewe au soka letu kivyetu vyetu.

Nimetizama mechi kadhaa za Yanga nakugundua pindi Yanga inapokutana na wachezaji iliowaacha na kwenda timu nyingine timu hizo wakikutana na Yanga wale wachezaji mwanzo mwisho ni kukaza.

Rejea mchezo wa Mashujaa hiyo jana Golikipa Johora alikua yupo radhi kufia kiwanjani ila Yanga isipite goli tu, angalia gemu na Namungo golikipa Dida Munishi alimwaga mchozi kabisa baada ya kufungwa pamoja na Pius Buswita aliyecheza Jihad mwanzo mwisho na mwenzake Domayo.

Mifano ni Mingi swali la kujiuliza je wanataka kuwaonyesha Yanga walifanya makosa kuwaacha au yanakua ni maelekezo kutoka kwa makocha wao.

Njoo sasa upande mwingine pale Simba asilimia kubwa ya wachezaji wanaoachwa na Simba wakienda upande mwingine ni ka vile bado wanakua wanatumika na Simba kuhujumu hizo timu rejea penalti ya Kagere na Singida Utd Kombe la mapinduzi jamaa ni kama alimpa mpira kipa, pia kipindi cha nyuma mchezaji Ulimboka aliwahi kushutumiwa kutumika kuwapa wachezaji wa timu pinzani mlungula ili waachie ushindi kwa Simba.

Sio wachezaji tu hata makocha rejea kocha wa Tabora Utd mserbia Karpunovic naye alipita Simba ajabu anashangaa na kusema kuna matukio yalitokea ndani ya masaa 24 kuonyesha kwamba kulikua na viashiria vya rushwa kwa wachezaji wake na kubaki kulalamikia nyasi ndefu wakati uwanja ni wao kila siku.
Kwa hiyo tufanyeje?
 
Hapana mkuu, mapumziko ya AFCON, wachezaji wetu binafsi naona walijiachia sana inaonyesha.... wanajitafuta sana, viwango vimeshuka kidogo. Pia nahisi Kocha wetu bado hajajua kuwatumia baadhi ya wachezaji.
Max alikuja akiwa bikira, baada ya mechi na Simba nadhani walimpatia Jishangazi likamshusha kiwango, Jeshi naye atakuwa kalegezwa magoti na Jishangazi.
Sasa hivi naona kupitia mechi ya jana Max ameonekana network imekamata na sasa amerudi kwenye game
 
Max alikuja akiwa bikira, baada ya mechi na Simba nadhani walimpatia Jishangazi likamshusha kiwango, Jeshi naye atakuwa kalegezwa magoti na Jishangazi.
Sasa hivi naona kupitia mechi ya jana Max ameonekana network imekamata na sasa amerudi kwenye game
Magomeni hiyo 😀😀
 
Back
Top Bottom