Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ccm ThoughtsMjini watu wanaishi kwa mbinu, bila kumfukiza Matola, Simba msitarajie jipya.
Matola anajua uwepo wake simba haukubaliki, hivyo anakusanya vyake
Ana wivu huyu jamaa huenda wametoka sehem moja. Ni kama yuke aliesema Dani Bandezu wa Azam two tv kipindi cha ndani ya box eti ni mshamba hajui kuvaa afukuzwe kazi, nkacheka sana.una akili fupi sana mkuu,kwan amekufanya nini matola mbona unamuandama sn?
Exactly!ccm Thoughts
Wanaotakiwa kumfukuza Wamechelewa sana.Matola ni WA kufukuzwa
[emoji28][emoji28][emoji28] absolutelyccm Thoughts
Mjini watu wanaishi kwa mbinu, bila kumfukiza Matola, Simba msitarajie jipya.
Matola anajua uwepo wake simba haukubaliki, hivyo anakusanya vyake
Inawezekana Boss Mo amekataa kutoa pesa nyingi ili ufanyike usajili wa nguvu.
Sasa hivi natembea na fuko la mawe nikikutana na Msemaji wetu yatamhusu kwanini alitudanganya juzi tungeisimamisha Afrika!
Wangechukua kombe nyuzi kama hizi zisingekiwepo. Lakini kwa sasa kila watakalo lifanya litaambatana na matusi ya mbwa Koko.
Simba yamejaa majizi na matapeli