Wachezaji wanaosajiliwa Simba ni wale ambao marafiki wa Matola, kwa hiyo Kuna vijipasenti anapata

Wachezaji wanaosajiliwa Simba ni wale ambao marafiki wa Matola, kwa hiyo Kuna vijipasenti anapata

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mjini watu wanaishi kwa mbinu, bila kumfukiza Matola, Simba msitarajie jipya.

Matola anajua uwepo wake simba haukubaliki, hivyo anakusanya vyake
 
Ana wivu huyu jamaa huenda wametoka sehem moja. Ni kama yuke aliesema Dani Bandezu wa Azam two tv kipindi cha ndani ya box eti ni mshamba hajui kuvaa afukuzwe kazi, nkacheka sana.
Matola ni WA kufukuzwa
 
Kwa hiyo Moses Phiri ni rafiki wa Matola sio? [emoji23][emoji23]
Hata kama ni chuki hizi zimezidi
 
ni Matola au Barabara au Mo? au Pablo? au wachezaji wabovu? nani alaumiwe kwa failure ya Kolo FC?

Sidhani ni sahihi kumbebesha Matola alone jumba bovu!!

Siamini wanaosajiliwa sasa ni mchongo wa Matola kwani muda wote kakaa Kolo FC bado hana hela tu?
 
Inawezekana Boss Mo amekataa kutoa pesa nyingi ili ufanyike usajili wa nguvu.

Sasa hivi natembea na fuko la mawe nikikutana na Msemaji wetu yatamhusu kwanini alitudanganya juzi tungeisimamisha Afrika!
 
Simba ya michongo. Msimu ujao ndio wakuzikwa moja kwa moja mpaka muhindi na hawara yake wakimbie.

Mjini watu wanaishi kwa mbinu, bila kumfukiza Matola, Simba msitarajie jipya.

Matola anajua uwepo wake simba haukubaliki, hivyo anakusanya vyake
 
Inawezekana Boss Mo amekataa kutoa pesa nyingi ili ufanyike usajili wa nguvu.

Sasa hivi natembea na fuko la mawe nikikutana na Msemaji wetu yatamhusu kwanini alitudanganya juzi tungeisimamisha Afrika!

Mo aliwatapeli Simba mpaka wake kushtuka kawaweka rupango.
 
Wangechukua kombe nyuzi kama hizi zisingekiwepo. Lakini kwa sasa kila watakalo lifanya litaambatana na matusi ya mbwa Koko.

Simba hawana uwezo wa kuchukua kombe lolote . Tangu mkubali kuongoza na yule mwanamke anayeifanya Simba Kama Mali yake ndio mwisho wa Simba. Mwanamke analeta personal issues kwenye timu, mtu anaomba mkataba miezi minne umemchunia, very bogus woman.
 
Simba yamejaa majizi na matapeli

Sasa hivi hayana lolote yamebaki kuwatumia mashabiki Kama chambo. Mtu anajilioa Deni la billion 25 anadai ameweka pesa kwenye akaunti wakati sio kweli. Mo kaharibu timu kapata alichopata kakimbia.
 
Back
Top Bottom