kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hakuna video wala taarifa inayoonyesha kuwa kuwapima utimamu wa mwili na akili vinafanyika kabla wachezaji kupewa mikataba ya kuvichezea vilabu. Hii haiwezi kuwa sawa hata kidogo, kila mchezaji anastahili kupita mchujo wa utimamu wa mwili na akili kwanza kabla ya kusainishwa mkataba.
Kuna wachezaji ambao wana majereha, magonjwa ya moyo na afya mbaya ya akili ambayo yanaweza kuhatarisha afya zao uwanjani au kuusumbua uongozi kutokana na shida ya akili (upunguani).
Kuna wachezaji ambao wana majereha, magonjwa ya moyo na afya mbaya ya akili ambayo yanaweza kuhatarisha afya zao uwanjani au kuusumbua uongozi kutokana na shida ya akili (upunguani).