Kina Novatus wanawazidi nini hao? Au wewe unajua Ulaya ni England, Spain, France, Germany na Italy pekee?hakuna hata mmoja wa kucheza ulaya
Yani mtu ashindwe kupata namba hapo Berkene akapate namba Ulaya?!!Kwa mtazamo wangu, wachezaji wenye uwezo wa kucheza Ulaya kwa sasa kutoka ligi yetu pendwa ya NBC ni:
1. Chama
2. Max
3. Yao
Wewe waonaje?
Km mpk sasa hawajacheza hawachezi tenaKwa mtazamo wangu, wachezaji wenye uwezo wa kucheza Ulaya kwa sasa kutoka ligi yetu pendwa ya NBC ni:
1. Chama
2. Max
3. Yao
Wewe waonaje?
Chama alieshindwa kucheza morroco hapo!Kwa mtazamo wangu, wachezaji wenye uwezo wa kucheza Ulaya kwa sasa kutoka ligi yetu pendwa ya NBC ni:
1. Chama
2. Max
3. Yao
Wewe waonaje?
We umemaliza kila kitu, uzi ufungwehakuna hata mmoja wa kucheza ulaya
Anajua mpira lkn bado sio mzuri kwenye decisionsOngezea Pacome zou zou
Sio wa level za hao watatu
YaaaahUK sahihi
Aongeze bidiiIbrahim Bacca
Mfumo ulimkataa but anajua mpiraHuyo chama si amewahi jaribu nje ya Tz vikashindikana
chama ondoa, ana ubongobongo mwingi sana. Yao, Max, aziz na yule anayeweka nywele breach.Kwa mtazamo wangu, wachezaji wenye uwezo wa kucheza Ulaya kwa sasa kutoka ligi yetu pendwa ya NBC ni:
1. Chama
2. Max
3. Yao
Wewe waonaje?
Anapoteza sana mipira, pia anapapara ya kupigaNashangaa! Toa chama weka jini makontro zizuu zizuwaa
Sasa ndo wamefikia uwezo huoMnaota nyie...hakuna mwenye uwezo wa kucheza ulaya akaja bongo...
HAKUNA
Roho mbayahakuna hata mmoja wa kucheza ulaya