Tukimuuza Diarra kwenda ulaya (zipo tetesi Manchester United, na Inter milan zinahitaji huduma yake) msimu ujao, pesa tutakazo zipata, tukilete hicho chuma pale Jangwani.Williams ni kipa japo jana mipira ilikua haikai mikononi ila ana kitu
Jana Baasha wenu kabanduliwa michuanoni.Basi wale wavaa njano wanajiona na wao Mamelod kisa na wao wanavaa njano.... hahahaa yani wanajikuta wanaota....
Ni kidonda ukiushiriki utakonda....Wivu
Mbona lugha ngeni hii...au ndo unamaanisha mwiko nyuma??Jana Baasha wenu kabanduliwa michuanoni.
Ngoja akija na hapa, utamuonea huruma.
Me mwenyewe ni mwananchi, lakini Mzamiru namkubali kinoma.Mzamiru anatumia AKILI?????
Beki ya kulia ile siyo mchezo, pale kati(kiungo) mamelodi naona wana watu mno, Kuna beki moja ya kati ya mamelodi inacheza Kwa akili nyingi sana...hizi timu kuzifikia ni ngumu, naona timu nyingi za south afrika zikikutana na waarabu gemu huwaga ngumu, nadhani ubora wa ligi zao unawasukuma zaidi, we fikiri timu hata za mwisho tu za ligi ya afrika kusini zikikutana na mabingwa wa kwetu bado tunatoana jasho kweli...naona hata waarabu huzihofia timu za SA kuliko zozote barani afrika, level ya maendelea Kwa ujumla wako juu ya waarabu.
Nilikua namaanisha yule huwa anawafanyaga kitu mbaya, jana katolewa kwenye michuano.Mbona lugha ngeni hii...au ndo unamaanisha mwiko nyuma??
Mfano Marumo alimtoa PyramidBeki ya kulia ile siyo mchezo, pale kati(kiungo) mamelodi naona wana watu mno, Kuna beki moja ya kati ya mamelodi inacheza Kwa akili nyingi sana...hizi timu kuzifikia ni ngumu, naona timu nyingi za south afrika zikikutana na waarabu gemu huwaga ngumu, nadhani ubora wa ligi zao unawasukuma zaidi, we fikiri timu hata za mwisho tu za ligi ya afrika kusini zikikutana na mabingwa wa kwetu bado tunatoana jasho kweli...naona hata waarabu huzihofia timu za SA kuliko zozote barani afrika, level ya maendelea Kwa ujumla wako juu ya waarabu.
USITUHARIBIE UZI.Tumpe pia heshima yake Chama
[emoji23][emoji23]yaani mpaka mwaka umeisha ndio unasema Leo!Ila mwaka jana mlikua vzr sana..hebu tuone mwaka huu...
Timu gani hapo hajawahi kutana nayo? na matokeo yalikua aje?Team zote zile za jana wakikutana na yanga zinakufa nyingi nikiripoti kutoka jangwani.
Kuna beki yao ya kulia fundi sanaaa anajua alafu anajua tena, jamaa anakupa kila kitu unachohitaj kutoka kwa beki wa pembeniNajua wengi Jana tuliuangalia mpira wa Mamelody vs Al AHLY lakini ni wachache tulioangali Kwa jicho la tatu na kung'amua vipaji haswa katika kikosi kile.
1. Kuna beki mmoja wa kati kitasa haswa sura ya mama anaitwa GRANT KEKANA
Uyu bwana mdogo matumizi ya akili ni makubwa mno sawa na umchukue BACCA +INNONGA ndiyo unampata.
2. Kuna Jamaa niliezoea kumuona akicheza kama beki wa kati Jana alikuwa kiungo kutokana na kutokuwepo Kwa MOKOENA jamaa alifit na aliupiga mwingi Sana anaitwa AUBREIN MODIBA appreciation post yake hii ni anaajua kuamua mpira uchezwe Kwa speed gani Kwa sasa.
3. ALLIENDE kijana tutoka chille uyu Sina comment [emoji119]
HAO NDIYO NILIO WAONA NI ROHO YA TEAM KWA JANA.
Ni kama huku bongo manara kuwa yanga wakati damu yake ni simba na Ahmed ally kujifanya ni simba wakati huyo ni yanga lialia ila kinachotafutwa ni pesa tuSio inasemekana ni ukweli na ndiyo team ya mapenzi yake pale yupo kazini tu
Inawezekana tatizo kubwa likawa si pesa bali ni watu.Kufika huko inawezekana, uwekezaji tu.
Pesa