Wachezaji wenye akili na hatari zaidi Mamelodi

Wachezaji wenye akili na hatari zaidi Mamelodi

Najua wengi Jana tuliuangalia mpira wa Mamelody vs Al AHLY lakini ni wachache tulioangali Kwa jicho la tatu na kung'amua vipaji haswa katika kikosi kile.

1. Kuna beki mmoja wa kati kitasa haswa sura ya mama anaitwa GRANT KEKANA
Uyu bwana mdogo matumizi ya akili ni makubwa mno sawa na umchukue BACCA +INNONGA ndiyo unampata.

2. Kuna Jamaa niliezoea kumuona akicheza kama beki wa kati Jana alikuwa kiungo kutokana na kutokuwepo Kwa MOKOENA jamaa alifit na aliupiga mwingi Sana anaitwa AUBREIN MODIBA appreciation post yake hii ni anaajua kuamua mpira uchezwe Kwa speed gani Kwa sasa.

3. ALLIENDE kijana tutoka chille uyu Sina comment [emoji119]

HAO NDIYO NILIO WAONA NI ROHO YA TEAM KWA JANA.
hawajakutana na max,pacome,ki na yao hao...
 
Tukimuuza Diarra kwenda ulaya (zipo tetesi Manchester United, na Inter milan zinahitaji huduma yake) msimu ujao, pesa tutakazo zipata, tukilete hicho chuma pale Jangwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Diara unataka kudanganya anamzidi Williams?
 
Ronwen Williums.
Khuliso Mudau.
Mothobi Mvala
Grant kekana.
Abdelmounaim Boutouil
Thapelo morena.
Thebohi mokoena.
Bongani Zungu
Marcelo allende

MNYAMA THEMBA ZWANE.......
Umemsahau AUBREIN MODIBA
 
Mamelodi wakitulia wanawatoa Ahly ila kuna mistake wanafanyaga wanapenda sana show game
Sema sina hofu sana maana Ahly anapajua bondeni vizuri
Mara ngapi wanawatoa au ulikuwa jera mkuu?
 
Nilikua namaanisha yule huwa anawafanyaga kitu mbaya, jana katolewa kwenye michuano.

Au niongee kimakua ndio utanielewa?
Hebu nitokee huko unajitafutia ahueni kupitia kwetu??
Atawafanyia nyie ndani na nje...
 
Jana nimeona mwarabu akivishwa kanzu aisee 😆 noma sana
 
Back
Top Bottom