Wachezaji wetu wazawa wanakwama wapi? Kila tetesi ya kutakiwa na timu za nje ni wageni tu? Why siyo wazawa?

Wachezaji wetu wazawa wanakwama wapi? Kila tetesi ya kutakiwa na timu za nje ni wageni tu? Why siyo wazawa?

Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral.

Yaani sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje.

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu "Surround yourself with those who can rise you high". Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu.

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa. Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi. Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa.

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson. Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja. Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs (wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight. Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika. Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika.

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera.

Huu mjadala huwezi kukutana nao popote, heko mleta mada
 
Na kwa Msisitizo Job , bakari na bacca wapo kwenye first xi ya Cafcc 2023
Wachezaji wa kibongo kuishi mbali na Tanzania hawawezi, nje unalipwa kwa kile kilocho ktk mkataba, hakuna ofa ofa za bia na mademu kama bongo
 
Wachezaji wetu hawana connection na hawataki kuwa nayo maana hawataki kusimamiwa na kuwalipa kidogo pesa mawakala na mameneja........ dunia ya saizi lazima utoe ndiyo upate sasa wetu wanataka wapate tu......Kwa kisingizio Cha wao ndiyo wataingia uwanjani.
 
Wachezaji wenyewe shule hamna , wanatakiwa wakubali ku-evolve , mambo ya et manager ni mshkaji kisa mmetoka mbali ni ujinga ... Mwanamziki Diamond mbali ya uwezo wake kutokuwa mkubwa Ila alikubali lawama na kuwatema managers wake waliokuwa wanathink locally , na kuamua kutembea na akili kubwa Sallam SK , kama vip wamchek Mzee Sallam SK atawakutanisha na akina drogba chap tuu unapaa ... Watanzania kazi yetu kubwa ni kuficha akili yetu matakoni na kumwachia mwenyezi Mungu afanye kazi badala ya Sisi....
 
Watafute mawakala wa nje wenye ushawishi, na si kng'ang'ania mawakala wa ndani ambao wengi hawajiamini. Jambo jingine wachezaji wa ndani hawana chochote kichwani,hawajiamini... Fuatilieni elimu za wachezaji wetu muone.... Utaona ni std7, form2 basi!
 
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral.

Yaani sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje.

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu "Surround yourself with those who can rise you high". Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu.

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa. Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi. Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa.

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson. Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja. Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs (wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight. Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika. Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika.

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera.

Kwa bahati mbaya hatuja fundishwa kuanza maisha ugenini, mfano umwambie mwambie mwanao aende bukoba wakati mnaishi Tanga Ni lazima atabisha tu. Hilo ndio tatizo, tafauti ya wachaga na wewe ni mchaga hana uwoga wa maisha mapya.
 
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral.

Yaani sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje.

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu "Surround yourself with those who can rise you high". Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu.

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa. Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi. Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa.

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson. Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja. Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs (wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight. Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika. Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika.

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera.

Sasa mchezaji meneja wake Bin Kazumari unategemea atakwenda wapi?
 
Wachezaji wenyewe shule hamna , wanatakiwa wakubali ku-evolve , mambo ya et manager ni mshkaji kisa mmetoka mbali ni ujinga ... Mwanamziki Diamond mbali ya uwezo wake kutokuwa mkubwa Ila alikubali lawama na kuwatema managers wake waliokuwa wanathink locally , na kuamua kutembea na akili kubwa Sallam SK , kama vip wamchek Mzee Sallam SK atawakutanisha na akina drogba chap tuu unapaa ... Watanzania kazi yetu kubwa ni kuficha akili yetu matakoni na kumwachia mwenyezi Mungu afanye kazi badala ya Sisi....
shaffih dauda si wakala wamtafte haha
 
Hawa wachezaji wanahusishwa kuondoka wote ni foreigners. Wachezaji wa ndani mbona ni wengi wamefanya poa kwenye hizi games za CAF?

Maana yake ni nini? Nikichogundua ili uwe marketable Kuna haja ya kuwa na wasimamizi wenye ushawishi na link mbali mbali ili uweze kwenda viral.

Yaani sijasikia mchezaji wa ndani wa Young Africans anaehitajika nje.

Why?

Mwalimu wangu wa chuo pale St Augustine University of Tanzania Dr Mrisho alikuwa anatufundisha International PR aliwahi kusema hivi, Nanukuu "Surround yourself with those who can rise you high". Maana yake ufungamane na watu ambao watakusogeza/ watakupaisha juu.

Hili libaki kuwa Kama lesson kwa wachezaji wetu wazawa. Watengeneze link ambayo itawapaisha zaidi. Performance pekee haitoshi

Let me remind you
Kuna yule striker wa Burundi Fiston Aboulazack hakuwa na performance bora, hakuwa outstanding but alipotoka Young Africans alienda Khouliba Algeria na baada ya muda kidgo tu alipata kusajiliwa Renaissance Sportive du Berkane (RS Berkane)

Hapa unaona kwamba sometimes performance bora is not a guarantee kupata mikataba minono na kupata Timu kubwa.

Mawakala wanaowasimamia wachezaji kama Bakari Mwamyeto , Ibrahim Abdullah Hamad Bacca, Dickson Job wachukue hii Kama lesson. Ukitizama mchango wa Lomalisa pale Young Africans sio mkubwa compared to Hawa vijana niliowataja. Lakini Lomalisa ni rahisi kusikia anahusishwa na RS Berkane lakini wachezaji wetu wa ndani wasipate hii fursa

Tunapiga kelele kuhusu Timu yetu ya taifa ( Tanzania) kutofanya vizuri, hii inasababishwa na outputs (wachezaji) wetu kutokuwa kwenye spotlight. Bacca anaweza cheza Timu nyingi tu Kubwa Afrika. Dickson Job the same Bakari Mwamyeto halikadhalika.

"Surround yourself with those who can rise you high"

Think Globally, act Locally ( Glocalization). Ameandika mchambuzi Carlos vera.

Kumbe majibu ya maswali yako unayo mwenyewe
 
Back
Top Bottom