ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Sote tunaujua uwezo wa timu zote za UK, hasa miaka hii kidogo ukioondoa Man city na Liverpool. Timu za ligi hii hutolewa hatua za mwanzo kabisa makombe ya ulaya
Sasa msimu huu timu zote nne za Epl zimetinga fainali... Tena zimeshinda kwa matokeo ya kustaajabisha dunia!
Kwanini hili limetokea? Ina maana kiwango cha mpira wao kimekua mwishoni mwa ligi hizi? Ni mambo ya Freemasons ama ndugu zetu wa kiafrika wanaocheza huko Safari hii wamejiongeza?
Sasa msimu huu timu zote nne za Epl zimetinga fainali... Tena zimeshinda kwa matokeo ya kustaajabisha dunia!
Kwanini hili limetokea? Ina maana kiwango cha mpira wao kimekua mwishoni mwa ligi hizi? Ni mambo ya Freemasons ama ndugu zetu wa kiafrika wanaocheza huko Safari hii wamejiongeza?