Nimejaribu kumuangalia na kumfatilia vizuri, huyu jamaa tumepigwaUmesema ni wote na tumekuelewa, Sasa kwanini umemtaja ngoma pekeaka.
Tulipora garashaHapa si ndio mlikuwa mnatamba kwamba huyu mmewapora Yanga mmewapora airport?
HahahahahaTulipora garasha
kwa upande wangu hapo simba nikiambiwa nichague wakwanza kwenda namchagua ONANA...maana ubisho mwingi.. anatembea kama anajipu kwenye tako...ety nae alikuwa MVP wa ligi frani!!Nimejaribu kumuangalia na kumfatilia vizuri, huyu jamaa tumepigwa
HataTatizo lenu washabiki wa simba na yanga huwa mnaona timu zenu kama za malaika vile hazipaswi kufungwa wala kutoka droo.
Ambacho hamkijui ni kuwa wenzenu pia wamejiandaa ili washinde mechi.
Anafungwa man city akiwa full muziki na crystal palace ije kuwa simba na wachezaji wake wa kuunga unga!?
mimi huwa nawashangaa. Kwamba wao Simba na Yanga kufungwa ni dhambiTatizo lenu washabiki wa simba na yanga huwa mnaona timu zenu kama za malaika vile hazipaswi kufungwa wala kutoka droo.
Ambacho hamkijui ni kuwa wenzenu pia wamejiandaa ili washinde mechi.
Anafungwa man city akiwa full muziki na crystal palace ije kuwa simba na wachezaji wake wa kuunga unga!?
Ila Pa Jobe na Saidoooo wasiachwe.List ni ndefu ila wa kwanza ni Ngoma, huyu mchezaji hawezi ifikisha Simba popote
Tunawasajili wakiwa wazuri huko, wakija huku wanaflopkwa upande wangu hapo simba nikiambiwa nichague wakwanza kwenda namchagua ONANA...maana ubisho mwingi.. anatembea kama anajipu kwenye tako...ety nae alikuwa MVP wa ligi frani!!
Tatizo sio kufungwa, tatizo kwanini iwe sie mwaka wa tatu huu ilihali mpinzani wetu mkuu anabeba ndooHata
mimi huwa nawashangaa. Kwamba wao Simba na Yanga kufungwa ni dhambi
Na Taifa Stars yumo dah.hata wazawa watoke2...waanze kutafta wachezaji wengne..maana waliopo wamezidisha mazoea...haiwezekani beki wa timu kubwa kama simba awe yule K JUMA ..
Mnayo ya Muunganiko Cup teh teh tehTatizo sio kufungwa, tatizo kwanini iwe sie mwaka wa tatu huu ilihali mpinzani wetu mkuu anabeba ndoo
Wamejimilikisha wao kushinda ni haki kupoteza kwao ni dhambi hapna hilo huo sio mchezoTatizo sio kufungwa, tatizo kwanini iwe sie mwaka wa tatu huu ilihali mpinzani wetu mkuu anabeba ndoo