Wachezaji wote wa kigeni simba watemwe timu ianze upya

Wachezaji wote wa kigeni simba watemwe timu ianze upya

Tatizo lenu washabiki wa simba na yanga huwa mnaona timu zenu kama za malaika vile hazipaswi kufungwa wala kutoka droo.

Ambacho hamkijui ni kuwa wenzenu pia wamejiandaa ili washinde mechi.

Anafungwa man city akiwa full muziki na crystal palace ije kuwa simba na wachezaji wake wa kuunga unga!?
Hata
Tatizo lenu washabiki wa simba na yanga huwa mnaona timu zenu kama za malaika vile hazipaswi kufungwa wala kutoka droo.

Ambacho hamkijui ni kuwa wenzenu pia wamejiandaa ili washinde mechi.

Anafungwa man city akiwa full muziki na crystal palace ije kuwa simba na wachezaji wake wa kuunga unga!?
mimi huwa nawashangaa. Kwamba wao Simba na Yanga kufungwa ni dhambi
 
kwa upande wangu hapo simba nikiambiwa nichague wakwanza kwenda namchagua ONANA...maana ubisho mwingi.. anatembea kama anajipu kwenye tako...ety nae alikuwa MVP wa ligi frani!!
Tunawasajili wakiwa wazuri huko, wakija huku wanaflop
 
Sio hoja hiyo simba na yanga w
Tatizo sio kufungwa, tatizo kwanini iwe sie mwaka wa tatu huu ilihali mpinzani wetu mkuu anabeba ndoo
Wamejimilikisha wao kushinda ni haki kupoteza kwao ni dhambi hapna hilo huo sio mchezo
 
Back
Top Bottom