OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ombi Maalumu
Sportspesa kama mdhamini wa Yanga jisikie aibu. Ile 100m mliyoiahidi Simba kama ingetinga nusu fainali wapeni hawa ndugu zetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia picha ina husiana na maelezoMbumbumbu mnawashwawashwa endeleeni kununusa mechi, Yanga B wako wapi hapo
Walikutesaje mkuu?Kutesa kwa zamu... Walitutesa sana kipindi cha Malinzi...
Eti timu ya Wananchi ,[emoji23][emoji16][emoji3][emoji4][emoji5][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji6] wachezaji wako hoi
Point kabisa mkuu... Wanaongelea uzalendo hadi kwenye haki ya mtu.Ukweli mchungu kabla ya kuwa mchezaji mpira .. wachezaji ni binadamu wanamahitaji mengi sana, kama pesa za kujikimu kimaisha maana maisha hayana huruma kabisa. Halafu ligi hii ipo mwishoni ikiisha hawatalipwa kitu hawa .. hamna atakaye wajali watatupwa na kupuuzwa. Ushauri wangu kwao wamevumilia sana na wamepambana katika hali zote . Zahera sio Mzazi kwao wala hatawasaidia kimaisha wasikubali pesa ndogo ndogo na ahadi hewa wakomae kudai stahiki zao maisha hayana huruma haya kwani umri wa kucheza mpira miaka ngapi???
Acha ujinga... hoji ela mnayochanga inatumikaje??Mbumbumbu mnawashwawashwa endeleeni kununusa mechi, Yanga B wako wapi hapo
Kwani mbona hata Nyie mliwauzia hao mbumbumbu so mnataka timu zingine zisipate??Mbumbumbu mnawashwawashwa endeleeni kununusa mechi, Yanga B wako wapi hapo
Nauza yanga mbovu na dola chakavu.....View attachment 1081641
Ombi Maalumu
Sportspesa kama mdhamini wa Yanga jisikie aibu. Ile 100m mliyoiahidi Simba kama ingetinga nusu fainali wapeni hawa ndugu zetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tupeni lication ya wachezaji tupeleke hata nyanya wapike wale, utafikiri wako kalahari bhana wakati kuna bwawa pale pembeni na maji ya kutosha
Dah, kugoma ndo mpando mzimaKutesa kwa zamu... Walitutesa sana kipindi cha Malinzi...
Eti timu ya Wananchi ,[emoji23][emoji16][emoji3][emoji4][emoji5][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji6] wachezaji wako hoi