Wachezaji Yanga washangazwa mshahara kuingia tarehe 17

Wachezaji Yanga washangazwa mshahara kuingia tarehe 17

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Hii ndio Yanga mpya,
Wachezaji wa kigeni wanaokipiga katika club ya Yanga wameshtushwa na utaratibu wa ajabu wa klabu hiyo.
Tarehe 16 mwezi huu mishahara ya wachezaji hao iliingia huku pamoja na hilo kila mchezaji akiwekewa bonus ya mil 1.3 huku Paul Godfrey na Mapinduzi Barama wakipewa laki 5 zaidi kama hela ya matunda hasa ikizingatiwa wao ni majeruhi. Yanga imetajwa kama klabu inayolipa mishahara yake mapema zaidi barani Afrika. Wachezaji wa kigeni wa klabu hiyo walishangazwa hasa ikizingatiwa waliaminishwa klabu hiyo inaitwa bakuli FC isiyolipa kabisa mishahara kumbe ilikuwa ni majungu tu ya mikia FC.
Molinga maarufu kama Falcao amefurahishwa sana na akaipongeza uongozi wa wazee hao wa jangwani baada ya kupewa package ya laki 5 iliyopewa jina ' weight loss package ' , " naishukuru sana Papaa Musolwa kwa fwasi ya klabu na ninaichukua hii kama motivation '' alisema Falcao .
 
Hii ndio Yanga mpya,
Wachezaji wa kigeni wanaokipiga katika club ya Yanga wameshtushwa na utaratibu wa ajabu wa klabu hiyo.
Tarehe 16 mwezi huu mishahara ya wachezaji hao iliingia huku pamoja na hilo kila mchezaji akiwekewa bonus ya mil 1.3 huku Paul Godfrey na Mapinduzi Barama wakipewa laki 5 zaidi kama hela ya matunda hasa ikizingatiwa wao ni majeruhi. Yanga imetajwa kama klabu inayolipa mishahara yake mapema zaidi barani Afrika. Wachezaji wa kigeni wa klabu hiyo walishangazwa hasa ikizingatiwa waliaminishwa klabu hiyo inaitwa bakuli FC isiyolipa kabisa mishahara kumbe ilikuwa ni majungu tu ya mikia FC.
Molinga maarufu kama Falcao amefurahishwa sana na akaipongeza uongozi wa wazee hao wa jangwani baada ya kupewa package ya laki 5 iliyopewa jina ' weight loss package ' , " naishukuru sana Papaa Musolwa kwa fwasi ya klabu na ninaichukua hii kama motivation '' alisema Falcao .
kama mmemlipa hadi moringa mmeibiwa
 
Hahaaa umeandika tuu, lete ushahidi sisi kina Tomaso tuamini.
 
Yaaani katika kitu ambacho sijakielewa ni hii habri, unasema wanalipa mapema wakati wakishalipwa hizo tarehe wanakuja kulipa tarehe kama hizo tena. Ambazo ni sawa tu anayelipwa tarehe 28/30 maana wote wanalipwa baada ya mwezi. Apple ya kijana na la rangi ya nyekundu yana ladha sawa utofauti ni rangi tu
 
Tarehe 16 had 16 mwez mwngne kunatofaut gan na tareh 1 had tarehe 1
 
Hii ndio Yanga mpya,
Wachezaji wa kigeni wanaokipiga katika club ya Yanga wameshtushwa na utaratibu wa ajabu wa klabu hiyo.
Tarehe 16 mwezi huu mishahara ya wachezaji hao iliingia huku pamoja na hilo kila mchezaji akiwekewa bonus ya mil 1.3 huku Paul Godfrey na Mapinduzi Barama wakipewa laki 5 zaidi kama hela ya matunda hasa ikizingatiwa wao ni majeruhi. Yanga imetajwa kama klabu inayolipa mishahara yake mapema zaidi barani Afrika. Wachezaji wa kigeni wa klabu hiyo walishangazwa hasa ikizingatiwa waliaminishwa klabu hiyo inaitwa bakuli FC isiyolipa kabisa mishahara kumbe ilikuwa ni majungu tu ya mikia FC.
Molinga maarufu kama Falcao amefurahishwa sana na akaipongeza uongozi wa wazee hao wa jangwani baada ya kupewa package ya laki 5 iliyopewa jina ' weight loss package ' , " naishukuru sana Papaa Musolwa kwa fwasi ya klabu na ninaichukua hii kama motivation '' alisema Falcao .
Yangaaaaaaaaaaaaaa............
 
Back
Top Bottom